Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 93,000
Tumia Avator hii itakusaidia zaidi.
Tumia Avator hii itakusaidia zaidi.
Tumia Avator hii itakusaidia zaidi.
Chukuwa hilo sanamu linakufaa sana kuwa Avatar yako.Ndio nini?
Mkuu Mungi ; Mkuu No fear kawa kimbiza wote au ndio wanariport abuse ?Mkuu Precise pangolin kwa hii hapa halafu u comment kama unavyoweza, unapigwa ya miezi sita. wengine Jf imekuwa nyumbani baada ya nyumbani!
Kweli kamanda, kuna baadhi ya members wanakera sana wanatusababishia ban.
Eneo la mkutano ni padogo, na hili liwe jambo la kulipigania kuhakikisha kunakuwa na maeneo ya wazi.
Tujitahidi kuwa tunachagua viongozi wenye nia na dhamira njema na wananchi wa nchi hii.
Ni aibu mtu mmoja tu anamiliki zaidi ya ekari 15 halafu watu hawana maeneo, serikali haina eneo la wazi kufanyia mkusanyiko
Mkuu Mungi
Hapo kwenye red unajua mzee Mtei anamiliki ekari ngapi? Hebu tujuze mkuu
Chama
Gongo la mboto DSM
CC Ritz
Mkuu Ritz
Huyu mshamba inaonekana hajatokea Kamuchumu mjini si unajua vjijini kuna sehemu wanaziita mjini sasa jamaa katokea ndani zaidi; mshamba mkubwa bado tongotongo za Kamuchumu hazijamuisha; Mkuu inawezekana ana air mileage za Air Tanzania; jamaa ni mjomba wa kutopea yaani sijaona; itabidi tufanye mawasiliano na Le mutuz wamkaribishe kwenye ukoo naamini mzee Malecela hatakuwa na kinyongo kumkaribisha kwenye familia.
Chama
Gongo la mboto DSM
CC Mungi Matola
Mimi sio Mungi, ila hata kama ni kweli Mzee Mtei anamiliki iwe heka 15 au zaidi hiyo hai-justify serikali ya ccm kuruhusu watu kujimilikisha au kumilikishwa ardhi in un-ethical manner!
Halafu mnajifanya kuwa mnajua Watanzania wa kawaida wanahitaji nini? Tell you what? Kila mnachokisimamia nyinyi kiko against interest ya common Tanzanians. Na hiyo ndiyo itakayowafanya Watanzania mnaowaita washamba wawashugulikie tena kwa kibali cha Mungu
Mkuu chama,
Swali jiwe ilo hakuwezi kujibu umesahau Mzee Mbowe naye ana ekari ngapi Hai.
Name calling MOD ama moo busy kula tende na Kashata? Nimeripoti Abuse
Name calling MOD ama moo busy kula tende na Kashata? Nimeripoti Abuse
Name calling MOD ama moo busy kula tende na Kashata? Nimeripoti Abuse