Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Chini ya utawala wa chama cha mabwepande watoto wa mafisadi kama huyu chama na wengine wengi wamejazana huko marekani wakiwa na uraia wa huko lakini wakati huo huo wana uraia wa Tanzania kinyume na sheria zetu ambazo haziruhusu kabisa uraia wa nchi mbili.
Ndio maana wako radhi kufanya chochote ili ccm iendelee kuwepo madarakani kwani kinyume chake watakufa njaa baada ya muda mfupi tu chama kingine kikikamata usukani wa nchi hii.
Na walivyo wajinga wanaamini Watanzania wa leo hii wanaweza kulishwa ujinga kama zamani!