Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
inaoneka bado hujakua,mshamba na unapenda kushobokea mastaa!.......
wewe uliekua na n mjanja ungejiita Muuza sura?
inaoneka bado hujakua,mshamba na unapenda kushobokea mastaa!.......
wewe uliekua na n mjanja ungejiita Muuza sura?
Greater Thinker kwanza yaonekana una xmass mbili tu hapa jijini, na suala la burudani hulijui wewe,
Wasanii waliojiunga na kuunda kundi la Vinega, ndio wasanii waliofanya mapinduzi ya mziki huu mpaka ukakubalika nchini,
unawajua Bantu Poung Gangstar wewe? Dar Young MOBB?Diplomatiz? hao ndio wakali wa mziki nchini na leo hii wapo na mishe mishe zao nyingine za maisha ila ndo wanaomsapoti SUGU na vinega..
Sugu na hao jamaa walianza kuhit 1995 je Radio ya Wafu ilikuwepo?
Sugu hajawahi fanya biashara na Wafu fm lakini ndio msanii mwenye mafanikio kuliko wote, ndio msaani wa kwanza wa kizazi kipya kwenda kufanya shoo nje ya nchi, kuuza album yake mwenye bila wahindi wala usimamizi wa RUGAY, kureodi na kufanya mixing mbele..
sasa hao unaowatete wanaenda kwa DMX na FABOLOUS wana mafanikio gani katika maisha yao?
wanayonywa lakini kwa uoga wao bado wanajipendekeza, Lady JD, Ray C unajua kwa nini walijitoa Smooth Vibes?
wewe bado sana kijana, tuachie wenye medani yetu, wewe umetumwa na RUGAY kuleta thread za kifala humu, ooh THT wamerudi bongo inahusu nini humu?
kama kweli wanawajali wasanii niambie waanzailishi wa THT wako wapi?
acha uboya ww,nani anaimba matusi? na hao watangazaji wenu wanaoliwa kama mboga c ndo wanatukana kwa vitendo,clouds ilianza miaka 6 baada ya sugu kujulikana................,huu mziki una mambo mengi kuliko unavyodhani,na huyo "kahaba" kiama chake ndo kimefika,mwisho wa ubaya ni aibu na hakuna marefu yasiyo na ncha...................***** wewe!!!!!Watakuja wapenda matusi...inaonesha hata hiphop hawaijui,tangu ln mixtape ikawa na uznduz?kama co sugu anataka kuwadhurumu wenzie!kwa nn vinega wote hawana elimu?kwa nin vinega wote wamepotea kwny game?kam wanabbniwa na clouds,kwa nin nymbo zao hazpgw redio nyngne?niambie n nymb gan katka hyo mixtape inafaa kupgwa kwny teleshen ya taifa?niambie n nymbo gan ktk hyo mixtape inaweza kupendwa na watu makn kama zito au prof.shivji?...tar26 naenda kumchek m2 mzima DMX..Et Antivirus? Soggy dog =magamba..sugu = magamba..wu z virus sugu o soggy?
acha uboya ww,nani anaimba matusi? na hao watangazaji wenu wanaoliwa kama mboga c ndo wanatukana kwa vitendo,clouds ilianza miaka 6 baada ya sugu kujulikana................,huu mziki una mambo mengi kuliko unavyodhani,na huyo "kahaba" kiama chake ndo kimefika,mwisho wa ubaya ni aibu na hakuna marefu yasiyo na ncha...................***** wewe!!!!!
View attachment 41090
kampe ujumbe ruge na wafu fm
Sugu hovyo kweli. Mbunge mzima anaandika nyimbo za matusi. Shame!
na sikia ruge anapresha baada ya kuona watu wamepata sehemu halafu ni confirmed lazima ajibebe tu..
tuendelee kuitibu hii virus..
Acha uwongo wewee hakuna radio inayopga nymbo zenu..mnaimba matusi,sasa radio itapga nymb za matuc?..kwa kuwa wamarekan wanatukana na nyie ndo mana mntukana!khaa km nd hvyo uingerez n mash..oga na nyie kuwen ma.s..hoga bac..et unajcf kabsa ..khaa!yoo
View attachment 41090
kampe ujumbe ruge na wafu fm
Sina ugomvi na hao wasanii but hayo matusi wanayomwaga ... kah nimewashusha thamani... hiphop sio matusi ... kawape taarifa hao vinega , na pia mkubali wa tz ni mashabiki wa bongo flava, bongo flava zipo juu ea, nenda Kenya kaulize who is alikiba, alafu waulize soggy mnamfahamu...? hivi ruge pia ana nguvu hadi radio za huko Kenya ...
Ww tu na roho yako kamwambie rugay kuwa hawezi kushindana na sugu hata kama anatumia ikulu na sasa wanaenda kumwaga sumu vyuoni ili wasusie upuuzi wa wafu fm nyie mnaona raha sana wasanii wakiwa empty waje kuwapiga vizinga hata nigeria walisusia shoo ya 50 cent na ndo chanzo cha wasanii kulipwa vizuri sisi je kwanza DMX hilo mmepigwa changa kwenye ratiba yake ya shows hajaiweka tz labda mkamfufue michael jackson
Jo.kusaga & Ruge walianza burudan kpnd hcho sugu anatokwa na makamasi.,Unamkumbuka Dj.Emperor?inawezekana ulikua mdogo yoo...