Uzi wa vyakula tu

hongera kwa kweli, natamani ningekua mvivu kula ila mwee nina apetite ya kutosha
Bora ungenipa pole..
Hiko chakula kilitaka kunishinda kumaliza.

Na kilo zangu ni chache,haziniruhusu kuzembea kula.
Naanza kulazimishwa kula kwa nguvu


Jitahidi usile Mara kwa mara,,siku nyingine unafunga tu.
Punguza kiwango Cha chakula,kidogo kidogo utajikuta unazoea.
Mimi nimezoea kufunga,sometimes huwa nakula usiku tu hata wiki nzima na Naona kawaida tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…