Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,825
- 233,259
HaitoshiHujaona hiyo mikate miwili hapo? Ina nyama na makorombezo katikati.
Na juice ya tikiti ilikujaika nilivyofika home nikala tena mkate na chai.
Virse versa,kula chakula then malizia matunda ndo utaratibu otherwise ni ulafi tu.kula chakula na sallad ni sawa.matunda na chakula big no labda buffé ya harusini maana yatakwisha.Yeah ni sahihi mkuu.. sema labda preference ndo inapewa kipaumbele kwa mtu anaependa kula pamoja na matunda.. na mwingine ana prefer kula matunda pekeake.. lkn nilishawahi kusikia wataalamu wakisema unaanza kula matunda kwanza unakaa kidogo kama nusu saa then ndo unakula chakula.. sasa sijajua hapo which is the very best option among those two
Esha buheti mwigizaji siku hizi mpishi kijiwe pale mabatini kjjishauri unapata vyote hivyoAlieandaaa hv nmemkubal duh
Halafu bei sasa.Haitoshi
Yaani wametia tuchips tutatu jamani
Atakuwa na minyoo huyo Sio bureHalafu bei sasa.
Unaweza kulia
Mimi sikushiba nimefika kwangu nikala tena mkate na chai.
Lakini niliyekuwa nae yeye anakuka tu hako kamkate kamoja na chungwa eti anashibana ana limwili likuuuuubwaaa sana
May beOoooooo.
Nilijua hb(handsome boy) yaani kidogo nishangae.
Nasubiri lunch
Nasubiria na pepsi bigMay be, poa nakutumia chips kuku
Anakusoma hapaAtakuwa na minyoo huyo Sio bure
Sh ngapi hicho?
Mirinda big ya baridiiiNasubiria na pepsi big
Hazijafika hadi mda huu.Mirinda big ya baridiii
HeeAnakusoma hapa.
Ngoja nitafute risiti nikuwekee.
@Hornet njoo useme hapa umeambiwa ujitokezeHee
Kumbe yupo ananiona hapa
Ajitokeze Basi
Kitu Misosi mbili mboga Kumi
Aiseee@Hornet njoo useme hapa umeambiwa ujitokeze
Tatizo upo mbali DearHazijafika hadi mda huu.