Uzi wa vyakula tu


Kwahiyo unakuwa na mboga ingine???
Mimi ninaweza ongezea na parachichi pembeni Ila baada ya muda kidogo tu njaa inauma tena as if sikula kabisa.
Nikiwa na mboga nyingine nashiba ila mlenda pekee nakula hadi nachoka ila sishibi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…