Mmeamkaje?
Mwenzenu nimeamka kwa kuchangamka na Ameno....you want to bambam.Umeamka na song gan Leo?
Siku ya kanisani. Nimeamka katika ibada.Mmeamkaje?
Mwenzenu nimeamka kwa kuchangamka na Ameno....you want to bambam.Umeamka na song gan Leo?
Job today?....kwann wasikupumzishe mkuuNimeamka fresh nipo job "Call"..nishakunywa supu na soda ya baridi hapa nashushia tu na maji nikisubiri kumaliza kazi niende kujirusha plus kuangalia games za leo..Man City na Westham,,Dodoma Jiji na Yanga.
Niliamka na mawazo ya kupiga puli nikakumbuka mafuta yamepanda bei..Ha ha haa,kuna nn tena