Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,354
Kwa vile serikali inahangaika sana ni vipi itapata mapato na kwenda mbali kuweka tozo zinazoumiza wananchi. Nimeona nifungue uzi wa kutoa ushauri ni wapi “Mwigulu” akatafute mapato.
1. Serikali ilikua na mpango wa kuokoa pesa kwa njia ya kukodisha magari kwa viongozi. Huku tutapata pesa nyingi sana.
2. Kampuni kubwa nyingi hapa Tanzania zina “understate” mapato. Hii ni kwa sababu ya serikali imeamua kutoa vibali na ku renew visa za muda za wageni ambao wanakuja kwenye haya makampuni kwa ajili ya kucheza na mifumo. Huku tunakosa pesa nyingi sana.
Ongezeni nyingine...
1. Serikali ilikua na mpango wa kuokoa pesa kwa njia ya kukodisha magari kwa viongozi. Huku tutapata pesa nyingi sana.
2. Kampuni kubwa nyingi hapa Tanzania zina “understate” mapato. Hii ni kwa sababu ya serikali imeamua kutoa vibali na ku renew visa za muda za wageni ambao wanakuja kwenye haya makampuni kwa ajili ya kucheza na mifumo. Huku tunakosa pesa nyingi sana.
Ongezeni nyingine...