Nimeshangaa yanapata Na ujasiri wakujibizana humu ningekua mod ningeyapiga ban yote humuwanaroho ngumu lohh








Yaanihuyu jamaa hatakiwi kupigwa ban haiwezekani mkongwe kama Mshana Jr apigwe za uso yaani kakusanya vimia mia vyetu kanywea balimi















Mshana natunguli zake alishindwa akala za uso afu Mshana Jr alikuja kumuombea msamaha nahisi aligawiwa sehem ya share atufafanulie vizurYaani
Hadi mshana alichangia yaani
Amelamba hela ndefu Sana tu
Atakuwa amekaa ametulia anachora watu jinsi wanavyomsema ...anawatazama anasema "hii"![]()
Mwenza hii lugha gani?Tukwizya![]()
Mambo vipi.
KipogoroSijui lugha gani hiyo dogo??
ngoja nikimbie tunaharibu na uzi wa watu
Nyete akusimamie uruke vizuri asije akakuibia speed unavyokimbia




haya badae bhana wanyiha wasije wakabadirisha tecno zetu kua huawei tuanze kuliaNaani ni mshakaNa gwe gwa mpogoro
haya badae bhana wanyiha wasije wakabadirisha tecno zetu kua huawei tuanze kulia




hawashindwiKamwwne mnogageKamwene munyumba umu