Ukweli ni mchungu sana asikwambie mtu,ila ukweli huwa mtamu ukijiandaa kuupokea na kuukubali,kwani huimarisha afya ya AKILI na MOYO.
Ukweli huleta upendo na amani,ukweli hufichua maovu,na ukweli usipo uweka mahala pake huleta maafa na umwagaji damu na chuki zisizo isha.
Ukweli ni haki au kama njaa haubagui.
Lengo la uzi huu ni kuto ona ya kuwa kuelezana ukweli ni jambo la ajabu na kuukubali ukweli ni udhaifu au ni ujinga.
Mazingatio :
1. Uzi huu hautaki kuelezana ule ukweli ambao muhusika au wahusika wakiusikia utawaudhi.
2. Uzi si wa kuchambana,au kudhihakiana.
3. Uzi hauruhusu kuelezana mambo ya ndani
4. Uzi huu ni wa maisha ya jf na watu wa jf na juu ya yale maoni ya wana jf
5. Hakikisha ukweli unaousema ni ukweli hasa na si kumzulia au kuzua habari ya uongo
Mfano wa kweli au ukweli unaotakiwa hapa ni :
1. Tanzania ni nchi tajiri sana lakini wengi hatujui.
Majibu : Hapa kiongozi umesema kweli.
2. Kaka Y ile hoja yako ya jana daah,ulichemka sana aisee.
Majibu : Kweli bro aisee,mimi mwenyewe niliona. Si unajua ubinadamu bro ! Pale kweli nilipuyanga mzee.
Sijakamilika wakubwa nakosea na nina patia pia.
Ukweli huleta upendo na amani,ukweli hufichua maovu,na ukweli usipo uweka mahala pake huleta maafa na umwagaji damu na chuki zisizo isha.
Ukweli ni haki au kama njaa haubagui.
Lengo la uzi huu ni kuto ona ya kuwa kuelezana ukweli ni jambo la ajabu na kuukubali ukweli ni udhaifu au ni ujinga.
Mazingatio :
1. Uzi huu hautaki kuelezana ule ukweli ambao muhusika au wahusika wakiusikia utawaudhi.
2. Uzi si wa kuchambana,au kudhihakiana.
3. Uzi hauruhusu kuelezana mambo ya ndani
4. Uzi huu ni wa maisha ya jf na watu wa jf na juu ya yale maoni ya wana jf
5. Hakikisha ukweli unaousema ni ukweli hasa na si kumzulia au kuzua habari ya uongo
Mfano wa kweli au ukweli unaotakiwa hapa ni :
1. Tanzania ni nchi tajiri sana lakini wengi hatujui.
Majibu : Hapa kiongozi umesema kweli.
2. Kaka Y ile hoja yako ya jana daah,ulichemka sana aisee.
Majibu : Kweli bro aisee,mimi mwenyewe niliona. Si unajua ubinadamu bro ! Pale kweli nilipuyanga mzee.
Sijakamilika wakubwa nakosea na nina patia pia.