Top Boy
Member
- Jul 15, 2022
- 16
- 77
Wazima Wote?!
Kama kichwa kinavyojieleza ndugu zanguni,
Leo ingekuwa vyema kama tukipeana mawazo ya kimaendeleo kulingana na kiwango cha mshahara mtu anachopata maana wapo wanao anza kazi na wapo wanaendelea kufanya kazi ila hawajui wafanye nini cha kimaendeleo au hawaoni faida ya mishahara yao kwenye maendeleo ya maisha yao.
Tungepata mawazo kulingana na Viwango hivyo hapo chini:
(Tshs): take home (unachopata kwenda nacho nyumbani)
300,000 - 499,999
500,000 - 699,999
700,000 - 899,999
900,000 - 1,000,000
Kulingana na research yangu asilimia kubwa ya Watanzania wa walioajiliwa iwe sekta binafsi au serikali wapo kwenye hizo scales hapo juu,
Ahsanteni
Kama kichwa kinavyojieleza ndugu zanguni,
Leo ingekuwa vyema kama tukipeana mawazo ya kimaendeleo kulingana na kiwango cha mshahara mtu anachopata maana wapo wanao anza kazi na wapo wanaendelea kufanya kazi ila hawajui wafanye nini cha kimaendeleo au hawaoni faida ya mishahara yao kwenye maendeleo ya maisha yao.
Tungepata mawazo kulingana na Viwango hivyo hapo chini:
(Tshs): take home (unachopata kwenda nacho nyumbani)
300,000 - 499,999
500,000 - 699,999
700,000 - 899,999
900,000 - 1,000,000
Kulingana na research yangu asilimia kubwa ya Watanzania wa walioajiliwa iwe sekta binafsi au serikali wapo kwenye hizo scales hapo juu,
Ahsanteni