Uzi Maalumu: Wapiga picha za Simu (Phone Camera)

Uzi Maalumu: Wapiga picha za Simu (Phone Camera)

Kigamboni
IMG_20190922_181846.jpeg
 
Kwema Wadau bila shaka mnaendeleaa vyema na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa. Niko poa na salama pia namshukuru Mungu

Ipo hivi ndugu zangu toka mwaka jana niliamuaa kujifunza kupiga picha za simu (phonecamera) mpaka sasa naendeleaa kwa ujumla najiona nabadiliaka na nazidi kubadilika kwa kila hatua.

Kuna faida kibao nazipata kupitiaa hili darasa langu nililoamua kujifunza toka mwaka jana. Through Social media ikiwepo na JF hapa kwasababu nashare picha zangu nyingi sana thanx [emoji120][emoji120].

Labda hapa niongee kitu kwa kifupi katika haya maisha yetu tunayoishi kuna mambo mengi ya kujifunza (small skills ) nyingi sana unaweza chukuliaa kitu kidogo lakin trust me kinaweza kukupa big deal mpk ukashangaa [emoji15][emoji15]?

Tuna mambo mengi tunapenda kujifunza lakini tunajidai tupo busy sana tujifunze kufanya vitu tunavyovipenda kwasababu hivi vitu ndyo vinavyotupatiaa amani na furaha ya maisha kwasabu unafanya kitu unachokipenda [emoji4][emoji4][emoji4][emoji106][emoji106].

Penda unachokifanya Fanya unachokipenda kwa sababu kupitiaa kufanya jambo unalolipenda ndani kutakuwa na creativity kubwa sanaa Haleluyaaa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ntaendeleaa Next Uzi.
naona kuna mdau anasema nitupie picha kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]

Picha zangu Mpyaa za Mwaka 2020

20191230_142005.jpeg
20191212_130456.jpeg
PSX_20190928_182146.jpeg
20200103_123058%20(1).jpeg
PSX_20190928_182248.jpeg
20191231_181621.jpeg
20200104_115953.jpeg
20200103_115546.jpeg
20200104_113750.jpeg
20191222_094201.jpeg
IMG_szqak7.jpeg
IMG_15785m.jpeg
 
Kuna mtumwa mmoja huko mexico baada ya utumwa kupigwa marufuku, akajipa kazi ya kuchora kila tukio aliloliona.Kwa kweli zile picha ndio document muhimu ya nchi ile na anakumbukwa na vizazi hadi vizazi.

Piga picha tu mkuu hutajutia, hata Mimi napiga sana picha ila virus ndio hatari kuka mafaili.
 
Thanx Master nina Memoery ya GB 128 natakiwa kuijaza picha [emoji106][emoji106][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtumwa mmoja huko mexico baada ya utumwa kupigwa marufuku,akajipa kazi ya kuchora kila tukio aliloliona.Kwa kweli zile picha ndio document muhimu ya nchi ile na anakumbukwa na vizazi hadi vizazi.
Piga picha tu mkuuu hutajutia,hats Mimi napiga sana picha ila virus ndio hatari kuka mafaili.
 
Kwema Wadau bila shaka mnaendeleaa vyema na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa.Niko poa na salama pia namshukuru Mungu

Ipo hivi ndugu zangu toka mwaka jana niliamuaa kujifunza kupiga picha za simu (phonecamera) mpaka sasa naendeleaa kwa ujumala najiona nabadiliaka na nazidi kubadilika kwa kila hatua.

Kuna faida kibao nazipata kupitiaa hili darasa langu nililoamua kujifunza toka mwaka jana. Through Social media ikiwepo na JF hapa kwasabau na sahare picha zangu nyingi sana thanx
emoji120.png
emoji120.png
.

Labda hapa niongee kitu kwa kifupi katika haya maisha yetu tunayoishi kuna mambo mengi ya kujifunza (small skills ) nyingi sana unaweza chukuliaa kitu kidogo lakin trust me kinaweza kukupa big deal mpk ukashangaa
emoji15.png
emoji15.png
?

Tuna mambo mengi tunapenda kujifunza lakini tunajidai tupo busy sana tujifunze kufanya vitu tunavyovipenda kwasababu hivi vitu ndyo vinavyotupatiaa amani na furaha ya maisha kwasabu unafanya kitu unachokipenda
emoji4.png
emoji4.png
emoji4.png
emoji106.png
emoji106.png
.

Penda unachokifanya Fanya unachokipenda kwa sababu kupitiaa kufanya jambo unalolipenda ndani kutakuwa na creativity kubwa sanaa Haleluyaaa....
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Ntaendeleaa Next Uzi..........
naona kuna mdau anasema ntupie picha kwanza
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Picha zangu Mpyaa za Mwaka 2020

View attachment 1348485View attachment 1348486View attachment 1348487View attachment 1348488View attachment 1348489View attachment 1348490View attachment 1348491View attachment 1348492View attachment 1348493View attachment 1348494View attachment 1348495View attachment 1348496
Kwema Wadau bila shaka mnaendeleaa vyema na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa.Niko poa na salama pia namshukuru Mungu

Ipo hivi ndugu zangu toka mwaka jana niliamuaa kujifunza kupiga picha za simu (phonecamera) mpaka sasa naendeleaa kwa ujumala najiona nabadiliaka na nazidi kubadilika kwa kila hatua.

Kuna faida kibao nazipata kupitiaa hili darasa langu nililoamua kujifunza toka mwaka jana. Through Social media ikiwepo na JF hapa kwasabau na sahare picha zangu nyingi sana thanx [emoji120][emoji120].

Labda hapa niongee kitu kwa kifupi katika haya maisha yetu tunayoishi kuna mambo mengi ya kujifunza (small skills ) nyingi sana unaweza chukuliaa kitu kidogo lakin trust me kinaweza kukupa big deal mpk ukashangaa [emoji15][emoji15]?
Tuna mambo mengi tunapenda kujifunza lakini tunajidai tupo busy sana tujifunze kufanya vitu tunavyovipenda kwasababu hivi vitu ndyo vinavyotupatiaa amani na furaha ya maisha kwasabu unafanya kitu unachokipenda [emoji4][emoji4][emoji4][emoji106][emoji106].

Penda unachokifanya Fanya unachokipenda kwa sababu kupitiaa kufanya jambo unalolipenda ndani kutakuwa na creativity kubwa sanaa Haleluyaaa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ntaendeleaa Next Uzi..........
naona kuna mdau anasema ntupie picha kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]

Picha zangu Mpyaa za Mwaka 2020

View attachment 1348485View attachment 1348486View attachment 1348487View attachment 1348488View attachment 1348489View attachment 1348490View attachment 1348491View attachment 1348492View attachment 1348493View attachment 1348494View attachment 1348495View attachment 1348496
Wew unatabia ya wazungu.Wazungu hupiga picha hovyo hovyo na zingine hupiga hela bila kutarajia Picha ya window XP bill gate alien in a being mbaya Hili zoezi ipo siku litakulipa bila kutarajia.Kuna mitandao ya Ku upload picha watu wakidownload unalipwa.
Picha zinaweza wekwa kwenye kava ya kitabu gazeti,blog nk hivyo kuwa makinivl hizo in pesa.
Unakamera nzuri sana, mi nafanya zoezi kama lako ila nakamera ya kishamba ninampango wa kupata nzuri niboreshe hobi.Hongera sana
 
Back
Top Bottom