Wasanii wa uganda gari kali wamejitahidi kumiliki tokea zamani na hawana kelele sanaCadilac escalade ya Bobi wine,Jamaa hakupewa heshima yake kwa kumiliki chuma hii kitambo hicho enzi za mwalimu.
View attachment 1820377
Kweli mwananguWasanii wa uganda gari kali wamejitahidi kumiliki tokea zamani na hawana kelele sana
Kipindi hicho bongo celebrity ya ea wasanii wa ug walikua wanatisha kwa lifestyle yao
Ilikua wakija kuonesha wasanii wa tz wakina gk wananyanyua chuma tu nyumbani kwa wazazi wao jay dee angalau alikua la prado ya milango 3
Haya madude mi nayapendaga hapo mbele kwenye pua..yan yana uso wa mbuzi...dope!
Sasa hv anatumia chombo ganiCadilac escalade ya Bobi wine,Jamaa hakupewa heshima yake kwa kumiliki chuma hii kitambo hicho enzi za mwalimu.
View attachment 1820377
Shape ya mbele kama kichwa cha nyoka
Hii bongo nimeiona dodge mustang