Todito
Senior Member
- Feb 6, 2013
- 154
- 357
Wakuu kwema?
Katika ukuaji wetu kiukweli ukitoa wazazi wetu, Bibi na Babu zetu walikua wakarimu wanyeyekevu na wenye upendo mkubwa sana.
Bibi yangu wakati wa likizo ilikua tukifika kijijin tu anatupokea kwa vigelegele na kuimba nyimbo za kilugha huku anaruka ruka na mara moja kuku atachinjwa wajukuu tunywe supu, Babu alikua mkali sana kwa wajomba ila sisi wajukuu tukifika atatupigia hadithi na kutuchekesha kila saa kama sio yeye
Vituko vya Bibi sasa ilikua akija mjini kutusalimia ni leo tu kesho ataanza kusema ng'ombe zake na mbuzi kijijin zinalia hazina majani mara kuku zake zitapotea ili mradi tu arudishwe kijijini.
Tutumie uzi huu kuwakumbuka ucheshi, ukarimu na vituko vya Babu na Bibi zetu na walipo Mungu awapumzishe kwa amani tu.
Katika ukuaji wetu kiukweli ukitoa wazazi wetu, Bibi na Babu zetu walikua wakarimu wanyeyekevu na wenye upendo mkubwa sana.
Bibi yangu wakati wa likizo ilikua tukifika kijijin tu anatupokea kwa vigelegele na kuimba nyimbo za kilugha huku anaruka ruka na mara moja kuku atachinjwa wajukuu tunywe supu, Babu alikua mkali sana kwa wajomba ila sisi wajukuu tukifika atatupigia hadithi na kutuchekesha kila saa kama sio yeye
Vituko vya Bibi sasa ilikua akija mjini kutusalimia ni leo tu kesho ataanza kusema ng'ombe zake na mbuzi kijijin zinalia hazina majani mara kuku zake zitapotea ili mradi tu arudishwe kijijini.
Tutumie uzi huu kuwakumbuka ucheshi, ukarimu na vituko vya Babu na Bibi zetu na walipo Mungu awapumzishe kwa amani tu.