Uzi maalumu kwa wapenda singeli

Uzi maalumu kwa wapenda singeli

ChamaDola

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
3,431
Reaction score
2,804
Wadau karibuni tujadiliane kuhusu u mziki wetu pendwa! Kigogo, Tandale, TMK, Kino na wana wote TZ nzima karibuni! Njooni tuwajadili manabii na mitume wetu wa singeli; Sholo Mwamba, Manfongo, Dogo Niga n.k!

Tubadlshane nyimbo, historia una ubuyu wa wana singeli!

Oiii babaaa, weka wekaaa...
 
Dah


Kinondoni mosco ilikuwa kila siku night lazima singeli ipigwe ,yani mosco bora maji yakatike ila siyo umeme

Kila siku night tupo kwenye show ya singeli

Asikuambie mtu show za singeli tamu achana na za kwenye ukumbi ,za kitaa ndio amsha amsha ,asiyewahi kuhudhuria show ya singeli basi kakosa entertainment moja matata


Wazee wa show show .
DJ duke amsha baba

Sema kwenye hz show uhuni mwingi kama ukiwa mzembe unachukuliwa

Ilikuwa ikifika mwishoni mwa show kwenye tisa usiku inapigwa ngoma ya mnyasa huyo ,kimbiza mnyasa huyo ikifika mda huo shee kaa mbali kama uko pekee yako sabb utaumia Na kuibiwa kila kitu

Kova ndio kaifanya singeli ipotee ,mwanzoni singeli ilikuwa kwenye peak sana tokea apige marufuku vigodoro show za singeli zimepoteza mvuto ,.simela dogo nigga akamtungia nyimbo sumu ya panya



Kova kazingua sana ..nimemmiss sana Moscow kila siku rusha roho,singeli Leo nyumba hii kesho nyumba ile kesho kutwa maskani ile Mara maskani hii ..ikifika tatu usiku unaanza kusikia mlio wa mziki hapo unafuata tu upepo wapi panaposikika mziki..



Top 3 yangu

1.Simela
2.Mczo Morfan "huyu ndio anakimbiza saizi"

3.Dogo kibo
 
Hii singeli ninini ? Ni aina ya muziki au ni jina la muziki? Huku nyarugusu hatuijui
 
Dah


Kinondoni mosco ilikuwa kila siku night lazima singeli ipigwe ,yani mosco bora maji yakatike ila siyo umeme

Kila siku night tupo kwenye show ya singeli

Asikuambie mtu show za singeli tamu achana na za kwenye ukumbi ,za kitaa ndio amsha amsha ,asiyewahi kuhudhuria show ya singeli basi kakosa entertainment moja matata


Wazee wa show show .
DJ duke amsha baba

Sema kwenye hz show uhuni mwingi kama ukiwa mzembe unachukuliwa

Ilikuwa ikifika mwishoni mwa show kwenye tisa usiku inapigwa ngoma ya mnyasa huyo ,kimbiza mnyasa huyo ikifika mda huo shee kaa mbali kama uko pekee yako sabb utaumia Na kuibiwa kila kitu

Kova ndio kaifanya singeli ipotee ,mwanzoni singeli ilikuwa kwenye peak sana tokea apige marufuku vigodoro show za singeli zimepoteza mvuto ,.simela dogo nigga akamtungia nyimbo sumu ya panya



Kova kazingua sana ..nimemmiss sana Moscow kila siku rusha roho,singeli Leo nyumba hii kesho nyumba ile kesho kutwa maskani ile Mara maskani hii ..ikifika tatu usiku unaanza kusikia mlio wa mziki hapo unafuata tu upepo wapi panaposikika mziki..



Top 3 yangu

1.Simela
2.Mczo Morfan "huyu ndio anakimbiza saizi"

3.Dogo kibo
mkuu,waweza weka video ya Mczo morfan ata moja?
 
Hii singeli ninini ? Ni aina ya muziki au ni jina la muziki? Huku nyarugusu hatuijui
singeli=hakuna ngeli!
Kama ulikuwa mfuatiliaji wa somo la ngeli kwenye la kiswahili utaelewa!
Utunzi wa mashaili wa nyimbo za singeli hauzingatii urali wa vina au sheria ya kuoanisha uwiano wa singeli!
Mashairi yanakuwa kama ya Mashairi ya Kisasa!
 
singeli=hakuna ngeli!
Kama ulikuwa mfuatiliaji wa somo la ngeli kwenye la kiswahili utaelewa!
Utunzi wa mashaili wa nyimbo za singeli hauzingatii urali wa vina au sheria ya kuoanisha uwiano wa singeli!
Mashairi yanakuwa kama ya Mashairi ya Kisasa!

[emoji27]
 
Vipi,are you clueless of what i am saying?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom