davie dee
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 934
- 1,215
hyo hdi wazulu ndo wanailewa si hyo tumeikuta tu hata maan ake bado janjaahahaha,"utini wena" maana ke nini?
hyo hdi wazulu ndo wanailewa si hyo tumeikuta tu hata maan ake bado janjaahahaha,"utini wena" maana ke nini?
ebu na zile za kitaa,kama za Migoma,tuendelee pata burudani
Singeli papuchi nje nje
kuna ukweli juu ya hilo nimeshuhudia mara nyingi kindi kile mtaani kwetu,ahahaha,una uhakika mkuu?
machimbo huku rumouko kitaa gani?
Poa Mkuu, ngoja nicheki.nishaielezea posts za nyuma ebu cheki!
Tia hasara mamaSiku hizi hatukimbizi mnyasa kisingeli kikikarbia kuisha inapgwa mczo tia hasara baba niamsha popo simela wahuni full kutia hasara watu nakubar sana shoo mwanzo mwisho ngoma za utini wena
nashukuru kwa kuchangia,mkuu!Singeli sio muziki wz Tanzania Bali ni muziki wa dar, sehemu zingine hawaijui na hawataki kuijua, hata mimi naonaga ni kelele tu halafu full kuigana, lazima kila anayeimba singeli lazima utaskia neno baaria, weka weka weka baariaaaaaa!! Kwangu Mimi ni kero tupu.