Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Umenikumbusha RPC wenuHuhuuuuhuuu ndo maana nilikumiss nilipata tabu sana
Umenikumbusha RPC wenuHuhuuuuhuuu ndo maana nilikumiss nilipata tabu sana
Nimekaa Dodoma kwa muda wote ule ila hujanipeleka sehemu hata moja.........Demiss Malaika Mwenyekiti wa JF Dodoma.
kipigo cha mbwa koko, mbwa koko ndio mbwa mabaunsa?Yupo vizur sana hahahaha kipigo chake ni ----------
Umejua kujitetea ee,Usinisingizie ulikuwa busy kama ATM ya benki
Mwigulu Nchemba karibu back bench, nothing lasts foreverWale watarime wamekula kipigooo hahaha Mwigulu huyu nilkuwa nakaa naye Appartiment moja leo kala kipigo cha mbwa koko
Nitakutafuta twende mnadaniDemiss Malaika Mwenyekiti wa JF Dodoma.
Ewaaah akale mlenda singidaMwigulu Nchemba karibu back bench, nothing lasts forever
Nimesikia kuanzia jumatano wiki hii inayoisha. Jana nimepita hapo nikaiona. Hebu uliza kwa wenzako. Maskani Image, wewe mwenzangu wakaa wapi?Tangia lini wewe acha chumvi?
SawaWewe ndo unajitetea
kwani mafao yake hayatoshi kununua ka kilo ka nyama?Ewaaah akale mlenda singida
Mambo mchuchuSawa