moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,868
- 691,539
Goja haenderee kushangaa muwandiko wagu?
Goja haenderee kushangaa muwandiko wagu?
imethibitishwa umepokea Tsh103 ya kununulia mboga ulie ugaliNaombeni buku wakuu, nimepika ugali, hela ya mboga sina....
Njoo uchukueNaombeni hela ya kilo 2 kitimoto na pepsi baridi, jamani namaanisha mjue.
Wapi?Njoo uchukue
Hahahaha, duhmh. hiyo haramu labda ya gesti hauzi
Au apike uji ale ugali kwa uji ni mboga nzuri sanaimethibitishwa umepokea Tsh103 ya kununulia mboga ulie ugali
hongera kwa kutumia jf
mkuu hicho hicho kidogo tunasaidiana si unajua hali yenyewe hii ya sasa vyuma vimekaza sasa huenda ikakusaidia hiyo pesa ukapata mboga
ila kwa ushauri mwingine kama kuna unga kidogo ni heri upike kaugali kadogo uweke kwenye bakuri ufanye mboga
Chukua mkuuWaliouza korosho naombeni hela.
Chukua mkuu
Sawa mkuu sasahv itathibitshwa kwako hapoTuma kwenye ile namba mwisho 67.
Nitashukuru sana.Sawa mkuu sasahv itathibitshwa kwako hapo
HukuWapi?
Naombeni hela ya kilo 2 kitimoto na pepsi baridi, jamani namaanisha mjue.
Karanga kama za diamond ama aina nyingne bossNinaomba hela nifanye mtaji wa karanga
Popote ulipo agiza nakuja kulipa mkuuMi naomba hela ya supu, maziwa mgando, na vocha ya Voda...
Popote ulipo agiza nakuja kulipa mkuu
NyingineKaranga kama za diamond ama aina nyingne boss