Malaika-Hakika
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 238
- 231
Ha ha ha ha ha ha ha a a a a mwenye Tanzania yake amebana si kitoto aiseeee,naona upo humu mkuu wa Suomi.....Ha ha ha Baba malaika si uimalizie tu hiyo nyumba mzee Kiduku toka Suomi
Ha ha ha ha ha ha ha a a a a mwenye Tanzania yake amebana si kitoto aiseeee,naona upo humu mkuu wa Suomi.....Ha ha ha Baba malaika si uimalizie tu hiyo nyumba mzee Kiduku toka Suomi
Naomba utoe vipimo kamili vya eneo hilo in sqm. Sasa hiyo miguu 22*20 ni ya Hashim Thabiti au niya TausiNauza kiwanja miguu 22*20 kipo mabwepande center,mtaa umejengeka sana.Barabara,umeme na maji vipo mpaka kiwanjani.Bei ni 7,200,000.Mmiliki ni mimi mwenyewe.Tuwasiliane 0714-796778 au 0654-136369 au whatsapp 0628-615685.
Tuwasiliane mkuu, 0766 621600, 0625 918961Eneo linatakiwa kibaha linaloanzia barabara kubwa yan. Morogoro road. Heka 3 m.300 mezani
Kuna uzito wa Tani 10!!Hizi biashara za kuitana pm zinakeraga sana kwani kuna uzito gani kutaja bei
Bei weka wazi hapa..soma mwanzoni mwa mada hiiKiwanja kikiwa na Nyumba kinauzwa,kipo Maeneo ya Msasani ufukweni kabisa....kinafaa kwa Makazi pia Hotel.... Ni Sqm 14920 bei maelewano pindi uonapo Eneo.....
0715-011022
Amani kwenu wadau,
Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa M.40x30 vinauzwa maeneo ya Kibaha Kwa Mfipa - Simbani, karibu na kituo cha kulelea watoto yatima cha mama Anna Mkapa.
Ni eneo zuri kwa ujenzi wa makazi na ni tambarare halihitaji kuchongwa, na pia barabara ya kuingia kwenye kila kiwanja inapatikana, umeme na maji vipo jirani.
Umbali kutoka kwenye barabara kuu iendayo Morogoro ni km 3.
Bei kwa kila kiwanja chenye ukubwa wa M. 40 x 30 ni milioni 7
maongezi yapo kwa anayehitaji punguzo.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na namba hizi: 0766 621600, 0625 918961
Karibuni sana.
Bèi ni 150m tuIndustriàl area la eka nane linauzwa kisarawe kazimźumbwi karibu na kiwanda cha cement.
DalaliiiHii ni thread maalum kwa wadau wote wanaouza maeneo sehemu mbali mbali hapa Tanzania, na pia kwa wadau wote wanaohitaji kununua maeneo.. [HASHTAG]#SellersMeetsBuyers[/HASHTAG]
Kama unauza eneo lako tiririka mama ifuatavyo:
Na kwa anayehitaji kununua pia atoe maelezo yake.
- Ukubwa wa eneo hilo
- Mahali eneo hilo lilipo
- Sifa za eneo hilo (Limepimwa au Halijapimwa)
- Bei ya eneo hilo
Karibuni
Mkuu naomba viwanja vilivyo katika vipimo vya ft uweke katika mita wengne ft hatukipatii picha vizuri tafadhaliHallo
Anayetaka Kiwanja sehemu ambayo ishachangamka tayari(Maji na Umeme)
Huitaji hata Nguzo ya Umeme.
Unaweza kujenga na kuhamia leo leo bila ya kusubiria Huduma hizo muhimu kwa Maisha ya Mwanadam.
Maeneo: Kitunda Magole na Chanika Mjini(Videte)
Kitunda: Bei: 6.5m
*Size*: 50ft X 50ft
Chanika: Bei: 4.5M
*Size*: 50Ft X 50Ft
Buyuni Ilala: Bei: 32M
*Size*: Sqmtr 1111
Buyuni Ilala: Bei: 40M
*Size*: Sqmt 1040
Buyuni Ilala: Bei: 15M
*Size*: Sqmt 706
Call: 0715-240140
*Karibuni*
Hizo mita au futi?Mabwepande nina eneo 20*35 nipe 2mil nina shida. Ndio kumeanza kujengeka.
Yeyote mwenye 2mil njoo nikuuzie. Asanteni