Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,954
- 2,439
20*20 1. 5mil - 2milNina viwanja vitano..Chanika majumba sita..naomba muongozo wa bei vimefika sh.ngapi nna shida ya ela nataka kuviuza..sijui current price huko ni sh.ngapi
20*20 1. 5mil - 2milNina viwanja vitano..Chanika majumba sita..naomba muongozo wa bei vimefika sh.ngapi nna shida ya ela nataka kuviuza..sijui current price huko ni sh.ngapi
mwandege ndio wapi?Nauza viwanja,
Ukubwa ni 50×40,
Mahal ni dsm mwandege,
Nyuma ya kiwanda cha bakhresa,
Bei mil 2.5
0714/0683- 775566
Kuona ni bure,
Karibuni wote
2M ndo bei nilionunulia 2014..Now nimeamua kuuza 3.5 each..fixed price..kwa anaechukua vyote kwa pamoja maongezi yapo.Ni majumba 6 Homboza-chanika-Dar es Salaam20*20 1. 5mil - 2mil
Mkuu pia asante kwa muongozo mkuu..ila bei nilionunua Mimi ilikua juu kidogo20*20 1. 5mil - 2mil
Mwandege ndio wapi sasa?Nauza viwanja,
Ukubwa ni 50×40,
Mahal ni dsm mwandege,
Nyuma ya kiwanda cha bakhresa,
Bei mil 2.5
0714/0683- 775566
Kuona ni bure,
Karibuni wote
Buyuni tayari kuna minara kibao, uza kama makazi tuSite ya Kujenga Mnara wa simu(available for LEASE) Iko na Grid Kubwa ya Umeme(High T. Power)
Pia kuna Transformer papo hapo kwenye Site.
Utakuwa umeokoa gharama za kujenga line Kubwa kwa ajili ya Ku-service Mnara.
Site iko na Ukubwa wa Sqmtr: 1200 with a title deed.
Site iko Ilala Buyuni, Chanika.
Kwa Maelezo zaidi,
tuwasiliane
0715-240140
Rent: Maelewano.
Picha zinapatikana kwa Whatsapp.
Karibuni.
Buyuni tayari kuna minara kibao, uza kama makazi tu
Nimeongea kutokana na experience yangu, mnara si kama mihogo unapanda tu sehemu yeyote!!! Ingekua kama zamani kila kampuni inajijengea mnara basi ingelikua rahisi kupata mteja, ila kwa sasa ni kampuni moja tu ndio ujenga minara hasa kwa hapa mjini, nayo ina minara kama miwili mitatu pale buyuni kuanzia zavara na maeneo mawili ya buyuni....Una elimu finyu sana ya Marketing.
Yaani ushindwe kupenyeza bidhaa zako sokoni kisa tu kuna bidhaa nyingi kama hizo zako mtaani!?
Basi usinge tahiriwa kisa tu wanaume wengi wamekwisha tahiriwa. That's what you mean, right!?
Fact.Una elimu finyu sana ya Marketing.
Yaani ushindwe kupenyeza bidhaa zako sokoni kisa tu kuna bidhaa nyingi kama hizo zako mtaani!?
Basi usinge tahiriwa kisa tu wanaume wengi wamekwisha tahiriwa. That's what you mean, right!?