ina nini cha zaidi
Ina nini cha ziada?
Ina opption ambazo hazipo kwenye gb whatsapp na gb haitakaaa iwe na options kama hizo mfano fingerprint scanner,titanium backup(like),pia unaweza soma txt na isirudishe blue tixks mpaka u reply,kudownload status,kuchagua mtu ambaye unataka aone status zako ,kuficha mtu asijue kama umeangalia status yake,ina 10 types of emojis variants,na options nyingine nyiiingi ambazo siezi zitaja nikazimaliza hapa cha msingi nenda kwa tovuti yake uicheki
yah! Unachosema ni kweli Yowhatsapp iko poa sana
Subiri mwenye uzi ajeMbona sioni settings za kubadilisha theme, ku-lock app kwa fingerprint, ku-freeze online/offline status, nikitaka ku-hide second tick inaleta warning kuwa msgz zitachelewa kuingia etc.
Kuna features nyingi tu sizioni kama mtu akiwa online hainioneshi kama flani yupo online and so on. Wakati kwenye gbwhatsapp hizo features zipo wazi tu.
Hebu nipe maelekezo vizuri kijana coz nine-install zaidi ya mara 3 still iko vile vile jombaa. Thanks.
Subiri mwenye uzi aje
Karibu GB, ndo top iko powa sanaMi naona kama GBW iko vizuri kwa features zilizopo kuliko hii YOW coz nime-download kwa link alizoweka jamaa na hata kwa sites nyingine ila naona haifanyi vizuri kwangu kama GBW.
Okay, let me wait and see.
Bofya dot 3 juu kulia ->>Yomods ->>Yotheme ->>DownloadYotheme hapa utakuta themes za kumwaga zaidi ya theme 3200 unachagua unayopenda kisha una download then inabadilika tu fasterMbona sioni settings za kubadilisha theme,
kwanza simu yako lazma iwe ina support finger print kisha bofya dot 3 nenda>>yomods kisha namba 6.password kisha weka tiki kwenye whatsapp lock halaf utaona option ya finger printku-lock app kwa fingerprint,
Kufreeze bofya dot 3 kisha nendaku-freeze online/offline status,
hiyo warning isikutishenikitaka ku-hide second tick inaleta warning kuwa msgz zitachelewa kuingia etc.
Kutokuona baadhi ya features haimaanishi kwamba hazipo labda ni ugeni wako tu ila kwa sisi tulio zoea kila kitu kipo waziKuna features nyingi tu sizioni kama mtu akiwa online hainioneshi kama flani yupo online and so on. Wakati kwenye gbwhatsapp hizo features zipo wazi tu.Hebu nipe maelekezo vizuri kijana coz nine-install zaidi ya mara 3 still iko vile vile jombaa. Thanks.
hahahaha pole sana hiyo simu yako itakuwa imeisha muda wake wa matumizi sema haujui tuNiliinstal baada ya muda naona majina ya watu yamejibadili. Juma karanga inakua asha bakari. Nikaifutilia mbali. Japo nilipenda features zake kama kuficha notification ya kuangalia status na second tick Hadi ureply
Nimebofya hizo dot 3 nikabofya Yomods kilichotokea ni hiki hapa chini aseee. Yosettings.Bofya dot 3 juu kulia ->>Yomods ->>Yotheme ->>DownloadYotheme hapa utakuta themes za kumwaga zaidi ya theme 3200 unachagua unayopenda kisha una download then inabadilika tu faster
Na kama unataka kuweza theme zako mwenyewe unaweka tu hiyo option ipo pia
kwanza simu yako lazma iwe ina support finger print kisha bofya dot 3 nenda>>yomods kisha namba 6.password kisha weka tiki kwenye whatsapp lock halaf utaona option ya finger print
Kufreeze bofya dot 3 kisha nenda
Privacy hapo utakuta kila kitu
hiyo warning isikutishe
Mimi nime hide na kila kitu kipo ok
Kutokuona baadhi ya features haimaanishi kwamba hazipo labda ni ugeni wako tu ila kwa sisi tulio zoea kila kitu kipo wazi
Kabisa
hahahaha pole sana hiyo simu yako itakuwa imeisha muda wake wa matumizi sema haujui tu
Bofya dot 3 juu kulia ->>Yomods ->>Yotheme ->>DownloadYotheme hapa utakuta themes za kumwaga zaidi ya theme 3200 unachagua unayopenda kisha una download then inabadilika tu faster
Na kama unataka kuweza theme zako mwenyewe unaweka tu hiyo option ipo pia
kwanza simu yako lazma iwe ina support finger print kisha bofya dot 3 nenda>>yomods kisha namba 6.password kisha weka tiki kwenye whatsapp lock halaf utaona option ya finger print
Kufreeze bofya dot 3 kisha nenda
Privacy hapo utakuta kila kitu
hiyo warning isikutishe
Mimi nime hide na kila kitu kipo ok
Kutokuona baadhi ya features haimaanishi kwamba hazipo labda ni ugeni wako tu ila kwa sisi tulio zoea kila kitu kipo wazi
Kabisa
kuongeza font size nenda kwenye yomods>>kisha utachagua home screen au conversation screenNiliweka Privacy Only baada ya kuondoa ndio zikaja hizo features nyingine kama Themes etc.
Nahitaji contact online toast na font size iongezeke kidogo mkuu. Help.
Imeweza,hiyo isiyo na emoji imekubali.Haiwez
hongera kama imekubali na karibu ulimwengu wa YowhatsappImeweza,hiyo isiyo na emoji imekubali.
Since Nov sikuwa hewani na BlackBerry 10
kuongeza font size nenda kwenye yomods>>kisha utachagua home screen au conversation screen
2 .home screen >> 2.3 mods >>2.3.4 main/call/contact/screen text size utaongeza hapo
3 .conversation screen >>3.3 mods>>3.3.8 message txt size utaongeza hapo
sema hapo kwenye contact online toast sijakusoma fresh hebu elezea zaidi