cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
- Thread starter
- #81
Kuna umri ambao unakuwa na tabia hizo kama 17-21 lakini 23 na kuendelea huwa hatukimbilii masharobaro,huwa tunataka wanaume wa maisha lakini namna ya kumuamini mtu ni ngumu ndo unajikuta inakula kwako unabaki unaliacutelove some times wadada mie huwa siwaelewi..........
unakuta kuna mtu serious kabisa anakutaka, unamsumbua na kukimbilia kwa "handsome/sharobaro"..............
hivi kwani huwa hamwezi kutofautisha kati ya mwanamme mwongo na mkweli?