dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,452
- 7,400
hii ndio shida nyingine ya wadada+1
Miaka fulani nilikua na mahusiano na dada mmoja ,kila nikimueleza malengo yangu ya mbele kua tutafunga ndoa ili tuwe mume na mke kihalali , alikuwa haelewi somo kabisa.
Baadaye nilikuja kugundua kuwa ,alikuwa na mahusiano na badboy flan mtaani, ambaye kwa rekodi ya wakati huo alikuwa keshawapa mimba na kuwatelekeza wadada wakali wawili mtaa huo huo, demu wangu alikua anajua habari zote kuhusu waliopewa mimba na jamaa ,lakini naye akajichomeka na kupata mimba yake , pamoja na stahiki za kuachwa!
Nikikumbuka hilo jambo , napata tabu sana kuwaelewa wadada