Chapa Isimame
Member
- Aug 15, 2018
- 78
- 86
Anayeuza vitu used vya ndani kwa sasa?Nimeona sio jambo baya Kama tukawa na Uzi maalum kwa ajili ya kuuza vitu used especially vitu vya ndani..pia ikumbukwe gharama ya vitu used inakuwa nafuu kwa mnunuaji
Kama hali ilivyo kuwa ngumu.kuna wengine wanakimbia mjini na kuuza vitu vya ndani, wako wanaobadilisha furniture na kuweka mpya na wanaohama kikazi au kwa sababu maalum
Huu ndio utakuwa Uzi wetu Wa kutangaza vitu tunavyouza pia Kama unahitaji unaweza kusema wadau wakatafuta
Kitanda ,godoro, meza, stuli, friedge,tv,radio,deki, kabati la nguo na vyombo, zulia, sofa, pasi, jiko la gas na umeme ,vyombo vya ndani, vyombo vya maofisini n. K
Utaratibu utakuwa; utaweka kitu unachouza yaani picha ya bidhaa yako na bei yake ukiweza kuandika namba ya simu itakuwa vizuri zaidi na mahali ilipo bidhaa
Kama una usafiri Wa bure kwa mteja (free delivery) utatuambia wanajukwaa..huu uzi kwa ajili ya wauzaji na wanunuaji wa kweli kama hauko serious tuache wenye kuelewa vitu used ..au wanasema asiyehusika na shoo akae pembeni
Sofa la L 360,000
Dryer 200,000@1
Kabati la nguo mbao ngumu200,000
Friedge hotpoint480,000
Bakuli2000@1
Glass4000
Sahani3000@1
Tvshowcase230,000
Brenda60,000
Jiko pamoja na mtungi wake220,000
Vyote vinapatikana tabata bimaView attachment 865975View attachment 865976View attachment 865977View attachment 865978View attachment 865979View attachment 865980View attachment 865982View attachment 865983View attachment 865984View attachment 865986View attachment 865987View attachment 865990View attachment 865991