Nestory Semeni
Member
- Jul 8, 2024
- 7
- 12
Kuna uzembe na udhaifu na mara kwa mara ninekuwa nachanganya hivi vitu,
Uzembe kuufanya uonekane udhaifu na hivyo nibebwe au ile kuonewa huruma kwamba "ni udhaifu tu"
Lakini kiuhalisia ni uzembe mkubwa
uzembe sasa naona ni pale ninaweza kufanya kitu ili mambo yabadilike na bado sifanyi
Na udhaifu ni pale nafanya kila kitu lakini wapi,
Hivyo badala ya kutaka kutiwa moyo kwa sababu ni mzembe ila ambaye najiona ni mdhaifu,
Inatakiwa nikubali mimi ni mzembe na uzembe wangu kuanza kuutendea kazi
Na nisitafute kubebwa yani ile ya kusema usinifokee, usinitukane, yani kujipangia watu waishije na mimi mzembe
Ukweli tu ni kwamba "nitabaki na uzembe wangu" na hakutakuwepo wa kunisaidia.
Uzembe kuufanya uonekane udhaifu na hivyo nibebwe au ile kuonewa huruma kwamba "ni udhaifu tu"
Lakini kiuhalisia ni uzembe mkubwa
uzembe sasa naona ni pale ninaweza kufanya kitu ili mambo yabadilike na bado sifanyi
Na udhaifu ni pale nafanya kila kitu lakini wapi,
Hivyo badala ya kutaka kutiwa moyo kwa sababu ni mzembe ila ambaye najiona ni mdhaifu,
Inatakiwa nikubali mimi ni mzembe na uzembe wangu kuanza kuutendea kazi
Na nisitafute kubebwa yani ile ya kusema usinifokee, usinitukane, yani kujipangia watu waishije na mimi mzembe
Ukweli tu ni kwamba "nitabaki na uzembe wangu" na hakutakuwepo wa kunisaidia.