UZEE MWISHO CHALINZE (Angalia Picha)

UZEE MWISHO CHALINZE (Angalia Picha)

Lazima utakuwa na matatizo ya kunuka kikwapa! Hao wamehusikaje na kwenye mada hii? Mbona yule mwenye busha humsemi kwa dogodogo zake? Uwe na heshima wewe.

achana nacho uzee unakisumbua..kibibi kizima kinakurupuka kujibu mada kwa majibu yasiyohusu
 
Wadau kama msemo maarufu kuwa uzee mwisho Chalinze mjini kilatu baby (Angalia picha) inajieleza. Swali ni kuwa Mkuu atakiweza chombo hiki au ndo vijana wa bodaboda watamsaidia?
1.Uzee dawa
2.Ng'ombe hazeeki maini.
 
Wadau kama msemo maarufu kuwa uzee mwisho Chalinze mjini kilatu baby (Angalia picha) inajieleza. Swali ni kuwa Mkuu atakiweza chombo hiki au ndo vijana wa bodaboda watamsaidia?

Tatizo liko wapi hapo au ni la ajabu !? Mleta mada utakuwa na yako moyoni vipi umenyang'anywa tonge mdomon funguka upate ushauri nasaha. Mwache Mzee akale vitamu
 
hivi mahawara kwa lugha nyingine ndo wanaitwa masuria, au?

Hapana, masuria nenda katazame kwenye biblia utapata maana yake. Unaweza kuwasoma hapa, halafu kama haujui, nakushauri muulize Daktari wa kanoni Padri Dr.W.Slaa akueleze tofauti ya mahawara na masuria.

2 Mambo ya Nyakati 11
21 Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu kuliko wakeze wote na masuria yake; (maana alioa wake kumi na wanane, na masuria sitini, akazaa wana ishirini na wanane na binti sitini).


 
attachment.php
 
Hapana, masuria nenda katazame kwenye biblia utapata maana yake. Unaweza kuwasoma hapa, halafu kama haujui, nakushauri muulize Daktari wa kanoni Padri Dr.W.Slaa akueleze tofauti ya mahawara na masuria.

2 Mambo ya Nyakati 11
21 Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu kuliko wakeze wote na masuria yake; (maana alioa wake kumi na wanane, na masuria sitini, akazaa wana ishirini na wanane na binti sitini).


unaogopa nini? nipe maana ya masuria
 
Huyo mume lazima achapiwe kwani ktk huo umri wanapenda game kuliko hata chakula
 
mbona naona kama wako kwa mganga wa kienyeji, kaniki naziona hapo na manguo kama wanaagua? hizo ndoa nyingine duh...
 
Back
Top Bottom