UZEE MWISHO CHALINZE (Angalia Picha)

UZEE MWISHO CHALINZE (Angalia Picha)

Ndio maana ukaambiwa KUA UYAONE...Kama wewe ni mwanaume utayaona...Wapo wazee ambao wanamudu, hasa ukiwa na mlo mzuri, mazoezi HAU DEPRECIATE kamwe.....Na ndio maana tunaambiwa mwanaume aweza oa hata akiwa na miaka 50 na kuzaa akazaa., mbona wengi tuu wameolewa hivyo na wanaishi vyema tuu katika ndoa zao.......ila tatizo lipo kwa wanawake tuu ndio tuna DEPRECIATE...Ikifika miaka 40 kwishneh..





Wadau kama msemo maarufu kuwa uzee mwisho Chalinze mjini kilatu baby (Angalia picha) inajieleza. Swali ni kuwa Mkuu atakiweza chombo hiki au ndo vijana wa bodaboda watamsaidia?
 
Wadau kama msemo maarufu kuwa uzee mwisho Chalinze mjini kilatu baby (Angalia picha) inajieleza. Swali ni kuwa Mkuu atakiweza chombo hiki au ndo vijana wa bodaboda watamsaidia?

Haswaaa bodaboda wakae mkao wa kutoa msaada hapa!
 
"Uzee Mwisho Chalinze" ndio "subject matter".

kwa hiyo quick reference yako ikawa Slaa, huwa mfano hautolewi moja kwa intellectuals ingependeza ungeendelea na Mzee ruksa na bint wa Kigamboni, Kapten Komba (well spread in media), n wengine. But kumlenga Slaa why? huko kwenu mbona kuna wavamsuli wengiii ambao ungetuletea hapa as examples for the subject matter
 
kwa hiyo quick reference yako ikawa Slaa, huwa mfano hautolewi moja kwa intellectuals ingependeza ungeendelea na Mzee ruksa na bint wa Kigamboni, Kapten Komba (well spread in media), n wengine. But kumlenga Slaa why? huko kwenu mbona kuna wavamsuli wengiii ambao ungetuletea hapa as examples for the subject matter

Nani asiyejuwa kuhusa Slaa na Josefina humu JF?

Ulitaka nikutolee mfano wewe usiyejuwa kuwa ni firimbi na si "filimbi"?
 
Naskia yule shehe wa zanzibar anayesema kalawitiwa na askari, serikali imetoa kauli bungeni kuwa inachunguza mwenendo wa tabia zake kabla ya kuwekwa mahabusu,mmhh kulikoni!!? mwenye kuzijua tabia zake aisadie serikali ili kuharakisha uchunguzi!

Nyie endeleeni kutukejeli
 
Hapa naomba miniwie radhi kwa wale watakaoguswa na ukweli nitakaousema.

Kwa kweli sipendezewi na ndoa zinazoitwa za Kiislam kwa mtindo huu wa kuonesha maungo. Jamani hivi wanaowaozesha watu wa namna hii wanajielewa kweli? Au ilimradi liende.

Kwa kweli asilimia kubwa ya ndoa hizi wengi wao hata kama nguo iwe ndefu kiasi gani watafanyaa juu chini sehemu ya manyonyo ionekane.

Jamani wapi tunapoelekea sasa?

Unaolewa kuonesha manyonyo kwenye kadamnasi halafu bila aibu na mapicha tele wanajifotoa!

Nasema hivi huu ni uchafu na kinyaa cha hali ya juu
 
Sass huyo anauzeee gan muwaache miaka miaaaa rais wenu slaaa na libinti lake hahaha ni mtazamo tu
 
Mume hana hata wasi na anafurahia maungo ya mkewe kuwa fahari ya macho kwa watu ambao wasingethubutu hata kuona chembe ya maungo yake
 
Back
Top Bottom