UZEE MWISHO CHALINZE (Angalia Picha)

UZEE MWISHO CHALINZE (Angalia Picha)

Wazee wa zamani hao hata dada yako anampiga Pumb.u utashangaa,,,wewe kijana wa sasa hivi chips Mayai hata wewe anakusaidia mkuu
 
Wadau kama msemo maarufu kuwa uzee mwisho Chalinze mjini kilatu baby (Angalia picha) inajieleza. Swali ni kuwa Mkuu atakiweza chombo hiki au ndo vijana wa bodaboda watamsaidia?
Nikune nami nikukune! Babu keshapata mtu wa kumuhudumia na kijana keshapata kianzio cha maisha kwa kurithi.
 
Nani asiyejuwa kuhusa Slaa na Josefina humu JF?

Ulitaka nikutolee mfano wewe usiyejuwa kuwa ni firimbi na si "filimbi"?

He!kumbe basi kama wana JF wanajua hapakuwa na haja ya kuleta hapa!
Halafu "frimbi" ni kikwenu, Kiswahili tunasema filimbi.
 
Sunna ya mtume jamani mbona mnaleta majungu??
Kama hamuwezi hiyo fanyeni sunna zingine kama kufuga ndevu etc
 
Naskia yule shehe wa zanzibar anayesema kalawitiwa na askari, serikali imetoa kauli bungeni kuwa inachunguza mwenendo wa tabia zake kabla ya kuwekwa mahabusu,mmhh kulikoni!!? mwenye kuzijua tabia zake aisadie serikali ili kuharakisha uchunguzi!

Hivi kitabu kinasemaje kuhusu mtumishi wa mnyazi mngu kuliwa kiboga, je ataendelea kuwa mtumishi au tayari amenajisika?

Maswali ni mengi kuliko majibu katika kadhia hii. Hivi na yeye alikuwa ametulia tu akiwa anasikilizia ili apate ushahidi wa kwenda kusema mahakamani? Hapa serikali inatakiwa ifanye ushunguzi na hatua za haki zichuliwe kwa wahusika mabazazi.
 
Wacha kubwabwaja na kuhororoja, jibu swali, vipi Slaa na Josefina? si sawa na mtu na mjukuu wake? au hilo hamlioni?
"Mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika".Mbona hata mfanyabiashara maarufu kwa mwaka 2013 Tanzania na Afrika ya mashariki kaopoa mwanamziki tena binti mbichi kabisa kwake na wewe umeufyata tu badala yake wewe umemng'ang'ania Slaa tu??????
 
daah hawa wazee wanatafuta matatizo hiv binti kama huyu mzee atamuweza kweli? maana dada bado mbichi kabisa
 
Baba zetu hawa wana mambo hasa aisee, hivi kwa style hii wauza chips sijui magenge watashindwa kumsaidia Babu kweli hapo!! maana sidhani kama babu ataumudu huu mzigo kiasi cha kumkojoza vizuri, huyu binti ataishia kutafuta kijana AMKAZE vizuri
 
....uyo jamaa maisha bora kwa kila mtanzania ndo yamemkomaza sura, bado yanki kabisaaa....
 
Back
Top Bottom