Smangele ana majanga kinoma. Mara Kaburi la baba yake shida, mara Kaka yake sasa hivi atapewa tuhuma za mauaji. Katikati ya kilio cha sakata la kaaburi la Mdingi Ayanda kaja katangaza kumtema. Jamani huyu mrembo si aje tu huku tumpe pumziko.
Smangele ana majanga kinoma. Mara Kaburi la baba yake shida, mara Kaka yake sasa hivi atapewa tuhuma za mauaji. Katikati ya kilio cha sakata la kaaburi la Mdingi Ayanda kaja katangaza kumtema. Jamani huyu mrembo si aje tu huku tumpe pumziko.
Ulishawahi kuangalia ISIDINGO kipindi wanaonyesha Letti Matabane kafa?
Kile kipindi kiliongeza mashabiki na kiliangaliwa sana na watu na wengi walilia
Lbd kama ulikuwa bdo mdogo
Huko Uzaloni naona kimeumana. Smangele na matatizo yooote yale bado anaonekana kama vipimo vimeonyesha ana mimba. Kumbuka last week alilala kwa Ayanda. Ngoja tuone Jumatatu itakuwaje.
Huko Uzaloni naona kimeumana. Smangele na matatizo yooote yale bado anaonekana kama vipimo vimeonyesha ana mimba. Kumbuka last week alilala kwa Ayanda. Ngoja tuone Jumatatu itakuwaje.