Uzalo Special Thread

Smangele ana majanga kinoma. Mara Kaburi la baba yake shida, mara Kaka yake sasa hivi atapewa tuhuma za mauaji. Katikati ya kilio cha sakata la kaaburi la Mdingi Ayanda kaja katangaza kumtema. Jamani huyu mrembo si aje tu huku tumpe pumziko.
 
Smangele ana majanga kinoma. Mara Kaburi la baba yake shida, mara Kaka yake sasa hivi atapewa tuhuma za mauaji. Katikati ya kilio cha sakata la kaaburi la Mdingi Ayanda kaja katangaza kumtema. Jamani huyu mrembo si aje tu huku tumpe pumziko.
Atapata tabu ,japo kiukweli ni wife material
 
Hivi anawezwa kulambwa na pastor Nkosi?
Maana anajilegeza tu kwa wanaume
 
sema ayanda na yeye anaboa, yani hana msimamo yule kaka, hajui hata anataka nini…mimi ananikwaza sana
 
Mxolisi na mastermind hali ni mbaya,watakutanishwa na ghabashe jela hapo ndio patamu aisee
 
Halin mbaya kwel
.....unakwazwa na tamthilia??
Ulishawahi kuangalia ISIDINGO kipindi wanaonyesha Letti Matabane kafa?
Kile kipindi kiliongeza mashabiki na kiliangaliwa sana na watu na wengi walilia
Lbd kama ulikuwa bdo mdogo
 
Huko Uzaloni naona kimeumana. Smangele na matatizo yooote yale bado anaonekana kama vipimo vimeonyesha ana mimba. Kumbuka last week alilala kwa Ayanda. Ngoja tuone Jumatatu itakuwaje.
 
Huko Uzaloni naona kimeumana. Smangele na matatizo yooote yale bado anaonekana kama vipimo vimeonyesha ana mimba. Kumbuka last week alilala kwa Ayanda. Ngoja tuone Jumatatu itakuwaje.

yaaa, sma ana mimba alafu kule penzi la sbahnle na ayanda limenoga
sijui itakuaje…ila mi napenda couple ya ayanda na sbahnle
tho ayanda sometimes hajielewi
 
yaaa, sma ana mimba alafu kule penzi la sbahnle na ayanda limenoga
sijui itakuaje…ila mi napenda couple ya ayanda na sbahnle
tho ayanda sometimes hajielewi
Sbah anajua kucheza ba akili za mwanaume. Pia ana akili za kijanja. Sma ni lialia mno. Pia hana msimamo. Nkosi akiamua anapita naye
 
yaaa, sma ana mimba alafu kule penzi la sbahnle na ayanda limenoga
sijui itakuaje…ila mi napenda couple ya ayanda na sbahnle
tho ayanda sometimes hajielewi
Yan wewe ndio mie kbs
Sma hanogi kuwa na Ayanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…