Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,200
- 10,945
Kuna historia inayotia mashaka kuhusu imani ya kiyahudi katika Tanzania. Shaka hiyo inaendana na matukio yanayoendelea ndani ya nchi na katika uwanda wa kimataifa.
Kwa mujibu wa historia hiyo ni kwamba walifurushwa nchini Yemeni mwaka 1880 wakatawanyika na kusafiri kupitia Morocco, Ethiopia, Kenya na mwishowe wakafika Arusha. Kati yao walibaki na Oman pia.
Historia hiyo inasema wayahudi jumla elfu tano (5000) kutoka Poland walijiunga na wenzao Arusha mnamo mwaka 1930 walipokimbia mateso nchini kule. Kuna wengine waliofuatana na sultan wa Zanzibar nao wakaenda huko huko kwa wenzao Arusha.
Mwaka 1960 watu wa Arusha wakaanza kuwaletea fujo mpaka wakaharibu sinagofi lao na kuchoma sanduku la Torati..Mambo yalipokuwa si mazuri baada ya uhuru hapo ikabidi wachawanyike kwa mara nyingine na waliobaki wakajichanganya na jamii ya wamasai.
Kwa mujibu wa historia hiyo mambo yalipokuwa magumu kwa upande wao walizamia na kujichanganya na wamasai. Katika miaka hii ya karibuni inaonekana tayari wameanza kuibuka juu na kuanza vitimbi vyao. Dalili unaweza ukaziona katika mabadiliko ya ghafla ya jamii ya kimasai.
Wamasai kwa muda mrefu wamekuwa ni watu wastaarabu na watiifu kwa serikali wakijishulisha na ufugaji. Siku hizi wameanza malalamiko na mapambano wakati mwengine yanayojumuisha matumizi ya silaha za moto badala ya mikuki.
Inajulikana mayahudi ni watu wagomvi sana na huko Mashariki ya Kati kila siku wana ugomvi na waarabu. Katika miaka ya karibuni inaonekana wanahamishia ugomvi wao nchini Tanzania hasa maeneo hayo ya Kaskazini.
Wakiingia watalii wa kutoka nchi za ghuba hata wakifuata sheria za nchi katika uwindaji basi lazima watawatilia mguu na kuwazushia tofauti na wanavyofanya watalii wa kizungu na wenzao kutoka Israel.
Kuibuka kwa kiwango tofauti kwa imani ya kiyahudi kunaonekana mitaani jijini Arusha ambapo mara nyingi matukio ya kiibada ya taifa la Israel huwa yanapata waungaji mkono ndani ya jiji hilo kwa kupeperusha vibendera vya taifa hilo.
Mapema mwaka huu kundi kubwa la vijana kutoka Tanzania wamekwenda kuchukua mafunzo yanayoitwa ya kilimo.Idadi ya vijana hao wafikao 260.
Sijui kama kumewahi kuondoka kwa mpigo idadi hiyo kwenda nchi yoyote kwa mafunzo.Na pia haijulikani iwapo wote wanaokwenda nchi hiyo kwa ajili ya mafunzo ya kilimo wanaishia kwenye mafunzo hayo au kuna mafunzo aina nyengine wanayokwenda kuchukua.
Na vile vile haijajulikana kama vijana idadi hiyo huwa wanachaguliwa kwa sifa za jumla kutoka mikoa yote ya Tanzania au wengi wao ni kutoka mkoa huo wa kaskazini ya Tanzania,wa Arusha.
Hofu niliyonayo ni hapo mbele wayahudi kuanza kudai mbuga za wanyama zilizopo mkoani Arusha kwenye jamii kubwa ya wamasai kuwa ni maeneo yao waliyoahidiwa.
Kwa mujibu wa historia hiyo ni kwamba walifurushwa nchini Yemeni mwaka 1880 wakatawanyika na kusafiri kupitia Morocco, Ethiopia, Kenya na mwishowe wakafika Arusha. Kati yao walibaki na Oman pia.
Historia hiyo inasema wayahudi jumla elfu tano (5000) kutoka Poland walijiunga na wenzao Arusha mnamo mwaka 1930 walipokimbia mateso nchini kule. Kuna wengine waliofuatana na sultan wa Zanzibar nao wakaenda huko huko kwa wenzao Arusha.
Mwaka 1960 watu wa Arusha wakaanza kuwaletea fujo mpaka wakaharibu sinagofi lao na kuchoma sanduku la Torati..Mambo yalipokuwa si mazuri baada ya uhuru hapo ikabidi wachawanyike kwa mara nyingine na waliobaki wakajichanganya na jamii ya wamasai.
History of the Jews in Tanzania
--------------------------------------Kwa mujibu wa historia hiyo mambo yalipokuwa magumu kwa upande wao walizamia na kujichanganya na wamasai. Katika miaka hii ya karibuni inaonekana tayari wameanza kuibuka juu na kuanza vitimbi vyao. Dalili unaweza ukaziona katika mabadiliko ya ghafla ya jamii ya kimasai.
Wamasai kwa muda mrefu wamekuwa ni watu wastaarabu na watiifu kwa serikali wakijishulisha na ufugaji. Siku hizi wameanza malalamiko na mapambano wakati mwengine yanayojumuisha matumizi ya silaha za moto badala ya mikuki.
Inajulikana mayahudi ni watu wagomvi sana na huko Mashariki ya Kati kila siku wana ugomvi na waarabu. Katika miaka ya karibuni inaonekana wanahamishia ugomvi wao nchini Tanzania hasa maeneo hayo ya Kaskazini.
Wakiingia watalii wa kutoka nchi za ghuba hata wakifuata sheria za nchi katika uwindaji basi lazima watawatilia mguu na kuwazushia tofauti na wanavyofanya watalii wa kizungu na wenzao kutoka Israel.
Kuibuka kwa kiwango tofauti kwa imani ya kiyahudi kunaonekana mitaani jijini Arusha ambapo mara nyingi matukio ya kiibada ya taifa la Israel huwa yanapata waungaji mkono ndani ya jiji hilo kwa kupeperusha vibendera vya taifa hilo.
Mapema mwaka huu kundi kubwa la vijana kutoka Tanzania wamekwenda kuchukua mafunzo yanayoitwa ya kilimo.Idadi ya vijana hao wafikao 260.
Sijui kama kumewahi kuondoka kwa mpigo idadi hiyo kwenda nchi yoyote kwa mafunzo.Na pia haijulikani iwapo wote wanaokwenda nchi hiyo kwa ajili ya mafunzo ya kilimo wanaishia kwenye mafunzo hayo au kuna mafunzo aina nyengine wanayokwenda kuchukua.
Na vile vile haijajulikana kama vijana idadi hiyo huwa wanachaguliwa kwa sifa za jumla kutoka mikoa yote ya Tanzania au wengi wao ni kutoka mkoa huo wa kaskazini ya Tanzania,wa Arusha.
Hofu niliyonayo ni hapo mbele wayahudi kuanza kudai mbuga za wanyama zilizopo mkoani Arusha kwenye jamii kubwa ya wamasai kuwa ni maeneo yao waliyoahidiwa.