Uwongo tunaousema kwenye Mabaa.

Uwongo tunaousema kwenye Mabaa.

Mimi nina hela hadi nataman kujiteka.
Kuna hii ya kulala nje halafu asubuhi unaenda na polisi home unamwambia wife nilikamatwa jana huyu jamaa kanisaidia kunitoa asubuhi hebu mpe elfu 20 nitakurudishia baadae.
 
Kuna mwingine alisikika akisema 'Mizengo si mnaona huwa hacheki ? lakini mimi ni besti yangu na huwa tukikutana ni vicheko tu au nimwite uone mwenyewe ? ' cha kushangaza baa yenyewe ilikuwa Mbagala-Kizuiani hahaha!
 
Kuna hii ya kulala nje halafu asubuhi unaenda na polisi home unamwambia wife nilikamatwa jana huyu jamaa kanisaidia kunitoa asubuhi hebu mpe elfu 20 nitakurudishia baadae.
Hahahahah!Hii kali.Belivdat
 
dah siku nilimpiga fix binti kwamba mi mgeni hapa mjini natokea magu sijui hata km ni mwanza au shinyanga.kumbe demu ndo kwao kabsaa alikozaliwa na kukulia?bac si maswali hayo kutoka huko magu.maswali rahisi km ningeishi huko japo kidogo ila kwangu sipajui hata palivyo
ikabidi baadae nimyayushe dem kwamba tulizaliwa pale wakati wa vita ya idd amini hivyo tulihama kipindi hiyo na kwenda kuishi nchi nyingine
ila kijasho kilinitoka kupiga fix kubaya ukifumaniwa nyie acheni tu
 
mwingine kajitia yupo serious badae akasema yeye anafanya kazi usalama wa taifa na jana yake tu walikuwa na kikao na rais, hahahahahaha
 
Kuna hii ya kulala nje halafu asubuhi unaenda na polisi home unamwambia wife nilikamatwa jana huyu jamaa kanisaidia kunitoa asubuhi hebu mpe elfu 20 nitakurudishia baadae.

teh teh teh ! Full kujifilis
 
Kuna jamaa alikuwa akihadithia kwa Congo D.R.C ameenda sana na anaijua vizuri sana na akasema kwa upande wa kusini imepakana na South Africa na kaskazini imepakana na Ufaransa na ndo maana wa-congoman kwenda ufaransa ni kama kwenda sokoni!
 
dah siku nilimpiga fix binti kwamba mi mgeni hapa mjini natokea magu sijui hata km ni mwanza au shinyanga.kumbe demu ndo kwao kabsaa alikozaliwa na kukulia?bac si maswali hayo kutoka huko magu.maswali rahisi km ningeishi huko japo kidogo ila kwangu sipajui hata palivyo
ikabidi baadae nimyayushe dem kwamba tulizaliwa pale wakati wa vita ya idd amini hivyo tulihama kipindi hiyo na kwenda kuishi nchi nyingine
ila kijasho kilinitoka kupiga fix kubaya ukifumaniwa nyie acheni tu

sipati picha ulivobambwa. Aibu ilkuwa tele. Sema ndo ukajikaza kiume.
 
Jamaa alisema anaitwa Asajile Mwaijumba na nyumba zote zilizo andikwa
msajili wa nyumba ni za baba yake.Akapata demu
 
Duh! mkuu uanze kusema za DFP bana lol!

Kuna jamaa tulikuwa tunacheza nae pool akawa anatongoza demu la ovyo tu mpaka kuchukua namba yake ya simu,baadae akapitiwa na mkewe warudi nyumbani wote tukabaki midomo wazi yaani bonge la mwanamke uzuri/shepu tukashangaa mtu ana kifaa hiki home anahangaika na wauza sukari yaani wanaume we acha tu.

Mlishangaa nini. au mlisahau ule usemi wa KIPYA KINYEMI INGAWA KIDONDA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom