nkasoukumu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 888
- 408
what goes around comes back
He he he.......mchana kuku alipewa mchele........jioni kachinjwa kaliwa na wali.......
Wapendwa thanx kwakunipa moyo namwambia ukwel leo hii ila nitawapa majibu kesho
Hivi wewe una undugu na Mzee Jongo, maana hivi viji-maneno sijui huwa unavifukunyua wapi,kha!.He he he.......mchana kuku alipewa mchele........jioni kachinjwa kaliwa na wali.......
Hivi wewe una undugu na Mzee Jongo, maana hivi viji-maneno sijui huwa unavifukunyua wapi,kha!.
Jaman nilikutana na mtu nikamdanganya jina, napoishi na hadi kila kitu katika maisha yangu nilijua kawaida yao wanaume tongoza tongoza. Kumbe jamaa yupo serious namie nimeshaanza kumpenda na anataka kuja home nashindwa nianzaje kumwambia ukweli hadi naogopa.
Wapendwa thanx kwakunipa moyo namwambia ukwel leo hii ila nitawapa majibu kesho
Wapendwa thanx kwakunipa moyo namwambia ukwel leo hii ila nitawapa majibu kesho
He he he.......mchana kuku alipewa mchele........jioni kachinjwa kaliwa na wali.......
Uwii sijui ndio nimeachwa jana amekasirika sana aliniambia siku zote izo ulikuwa unanidanganya na akaondoka leo kanipa hi ya kawaida na ratiba ya huduma anaagizia mdogo wake afanye sijui ndio ananikwepa
Uwii sijui ndio nimeachwa jana amekasirika sana aliniambia siku zote izo ulikuwa unanidanganya na akaondoka leo kanipa hi ya kawaida na ratiba ya huduma anaagizia mdogo wake afanye sijui ndio ananikwepa