Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,791
Preta,nimeipenda sana hiiHe he he.......mchana kuku alipewa mchele........jioni kachinjwa kaliwa na wali.......
halafu.....kwanza hujambo....?
Jaman nilikutana na mtu nikamdanganya jina, napoishi na hadi kila kitu katika maisha yangu nilijua kawaida yao wanaume tongoza tongoza. Kumbe jamaa yupo serious namie nimeshaanza kumpenda na anataka kuja home nashindwa nianzaje kumwambia ukweli hadi naogopa.
Kwann ila nyie wasichana n waongo xana i don trust any women
Kwann ila nyie wasichana n waongo xana i don trust any women
mwambie ukweli. usikute naye anakudanganya. halafu hii tabia ya kujipeleka kwa bf kuhudumia/kuhudumiwa inawagharimu wengi sana.