hokani
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 102
- 77
3squere,
Haya hapa chini, yote umeeleza kwa rai yako, au kwa mawazo yako lakini hayako hivyo. Karibu tujadili au tusahihishane:
5. Ana ATM mashine yake binafsi ya kutoa ela.
6. Bila ruhusa yake hakuna muswada utapitishwa kuwa sharia.
8. Ana uwezo wa kumuonya waziri yoyote, na hata kumwajibisha.
10. Ukiacha ukuu wake katika UK na Australia pia anaongoza nchi zifuatazo Antigua and Barbuda, the Bahamas, Barbados, Belize, Canada, Grenada, Jamaica, New Zealand, Papua New Guinea, Saint Kitts and Nevis, Saint Lucia, Saint Vincent and the Grenadines, Solomon Islands, na Tuvalu.
12. Ana uwezo wa kuivunja serikali ya Australia.
14. Anamiliki ndege aina ya swans, kongoro katika mto thames.
15. Anauwezo wa kumteuwa spika kwa amri yake .
Haya hapa chini, yote umeeleza kwa rai yako, au kwa mawazo yako lakini hayako hivyo. Karibu tujadili au tusahihishane:
5. Ana ATM mashine yake binafsi ya kutoa ela.
6. Bila ruhusa yake hakuna muswada utapitishwa kuwa sharia.
8. Ana uwezo wa kumuonya waziri yoyote, na hata kumwajibisha.
10. Ukiacha ukuu wake katika UK na Australia pia anaongoza nchi zifuatazo Antigua and Barbuda, the Bahamas, Barbados, Belize, Canada, Grenada, Jamaica, New Zealand, Papua New Guinea, Saint Kitts and Nevis, Saint Lucia, Saint Vincent and the Grenadines, Solomon Islands, na Tuvalu.
12. Ana uwezo wa kuivunja serikali ya Australia.
14. Anamiliki ndege aina ya swans, kongoro katika mto thames.
15. Anauwezo wa kumteuwa spika kwa amri yake .