Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Umeshaanza adakabla hapa...100%, yuko sahihi, na Dunia inajua huo ndio ukweli..!! Kifo cha Diana Princess of Wales, kiligusa sana nyoyo za watu duniani.. inaumiza sana..!! Kumbuka Diana akiwa msichana mbichi, mwanzoni hakutaka kabisa kuolewa ktk Familia ya Malkia, but kutokana na mashinikizo ya Malkia na wao ndio wenye nguvu UK, basi tena akakubali, ila Prince Charles atalipwa na Mungu, he is the source of all evils juu ya Diana... hata watoto wake wote wawili wa kiume William na Harry, wanajua huu ukweli.. leo ni watu wazima ila hawatasahau unyama aliofanyiwa mama yao.. na Charles asivyo na hata aibu akamuoa CAMILLA na sasa ni mkewe... na Malkia akaruhusu yote haya.. Inauma sana..!!
Alishinikizwa na nani kuolewa wakati tangu akiwa shule akikua na dream hiyo ya kuolewa na familia ile..!!