kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Wakuu nimetafakari Sana kwa Sasa Nina miaka 29 kwanini had Sasa Sina uwezo wa kutengeneza chombo kama ndege, kikaruka hewani.
Hivi uwezo wetu Afrika ulikomea hapa. Masomo ya darasani tunasoma tu theory za wazungu chanzo ni nini?
Hivi uwezo wetu Afrika ulikomea hapa. Masomo ya darasani tunasoma tu theory za wazungu chanzo ni nini?