Hansy wa East
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 447
- 230
Bandugu naomba kupata uelewa maana nimenunua samsung chart 5720 ila tatizo uwezo wake wa kusurf net naona kama ni mdogo sana wakati ina 3g sasa kwa yeyote mwenye uelewa na hili anisaidie jinsi ya kuiongezea uwezo wa kukata mawimbi! Ahsante