Uwezo wa askari kukimbia

Uwezo wa askari kukimbia

lingula70

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2014
Posts
4,053
Reaction score
1,968
Napata mashaka na uwezo wa askari huyu..
12.png
 
Heheh nyie askari wanakimbia jamani,nyie wadharauni kwa sababu hamjawahi ona mshike shike wake.

Alafu ukiangalia hiyo picha huyo afande alivounyoosha huo mguu,dogo huyo atakua alidakwa tu
 
Kama una mashaka nenda central au kambini kwao kawachokoze halafu mfukuzane ndiyo ulete mrejesho hapa jukwaani
 
Back
Top Bottom