Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,936
Napata mashaka na uwezo wa askari huyu..
View attachment 477690
Dogo akimbii tu bali anaangalia na mkimbizaji anakimbiaje ili ambadilishie direction.
Napata mashaka na uwezo wa askari huyu..
View attachment 477690
ni mwanafunzi lakini kwa muda huo ni muhalifuHu
huyu mwanafunzi wa Simiyu Sec siyo mhalifu; hujaona uniform au ?
Mimi sijaona hata koment yako naishangaa avatar tuWanashindwa mbio mpaka na mateja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Askari wana misuse resources; mtoto wa watu hana silaha lakini askari ana helmet, Rungu, boot na pingu huo ni uoga au ufujaji
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji6]Buti kilo 5 rungu nusu kilo suruali modo juu helmet robo kilo anakimbia huku anawaza kama akimkamata kisha asimkute hata na buku mfukoni na mbio zote hizo lazima amuwekee bangi.
[emoji2][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji12] [emoji12]Wanashindwa mbio mpaka na mateja.
Me hawanidaki kamweHeheh nyie askari wanakimbia jamani,nyie wadharauni kwa sababu hamjawahi ona mshike shike wake.
Alafu ukiangalia hiyo picha huyo afande alivounyoosha huo mguu,dogo huyo atakua alidakwa tu
mkuu FFU wanakimbia kama swala.Me hawanidaki kamwe
what is going to happenNapata mashaka na uwezo wa askari huyu..
View attachment 477690
Ohooooo!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wahalifu siku zote wana speed kuliko askari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanashindwa mbio mpaka na mateja.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Heheh nyie askari wanakimbia jamani,nyie wadharauni kwa sababu hamjawahi ona mshike shike wake.
Alafu ukiangalia hiyo picha huyo afande alivounyoosha huo mguu,dogo huyo atakua alidakwa tu
Thubutu! Hakumkamata.. dogo aliingia chaka. Alikamatwa mwingine
Watu mkiwa kwenye keyboard na fake id mnaropoka [emoji23] [emoji23]Wanashindwa mbio mpaka na mateja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inasemekana kwanba ukimkimbia askari mnene uko katitka hatari kubwa ya kupigwa risasi kuliko kama ungemkimbia askari mwembamba!