Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,630
- 4,691
Leo hii Tanzania imejaa bidhaa nyingi zenye ubora duni zilizotengenezwa China na ndani ya Tanzania, na kwa kiasi kidogo toka India na Thailand.
Leo hii, ni rahisi sana kuikunja nondo ya 16mm iliyotengenezwa Tanzania kuliko nondo ya 12mm iliyotengenezwa Kenya. Mathalani, ukienda dukani kutaka kununua nondo ya 6mm, utaulizwa unataka 6mm nene (imetengenezwa Kenya) au nyembamba (imetengenezwa Tanzania). Unajiuliza, hivi
Ukifika k/koo kutaka kununua vitu vingi unaulizwa unataka fake au genuine? Ukishafikia sehemu unaenda dukani unaulizwa hivyo ujue hakuna TBS wala nini ni ujinga tu unaoendelea.