N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 8,191
- 12,459
Miaka ya 90 kurudi nyuma bidhaa ghushi hazikuwa nyingi kiasi hiki...inaogopesha kuona hata tairi na vipuri vya magari vingi vipo chini ya ubora na Mamlaka husika ipo kimya tu...unajiuliza vinaingilia Bandari ya waapi!?
TBS ijitathmini haiwezekani tukawa na bidhaa duni nyingi kiasi hiki tunahatarisha USALAMA wa wananchi wetu.
TBS ijitathmini haiwezekani tukawa na bidhaa duni nyingi kiasi hiki tunahatarisha USALAMA wa wananchi wetu.