ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Wadau Habari za leo naomba leo niwaelezee namna uwekezaji kwenye dhahabu ambao kidogo hauna risk kubwa kama unataka kuingja kwenye biashara ya dhahabu uwekezaji upande wa service huu mzuri sana unachotakiwa kuanzia tafuta kitu kinaitwa crusher hizi inategeme na eneo zipo kuanzia 9m mpk 15m
Pambana upate mbili kama una nguvu nzuri
Tafuta eneo la kujenga mwalo wako iwe kukodi au unanunua
Utendaji Kazi sasa
Wewe kazi yako unakuwa unasaga mawe pale ya wananchi wanalipa na na wanakuachia mchanga kwa ajili ya marudio nawewe unakuwa na mtaji kununua mawe yako unasaga kupata dhahabu ambayo itaendesha maisha pale na kubaki na rudio
Baada rudio kuwa jingi sasa ndio unapeleka plant uko kupata dhahabu yako
Hii kazi nafuu kiasi kuliko kuchimba
Na inatakiwa ujitahidi kukusanya marudio lundo kila baada miezi mitatu unaingia plant aiseee maisha yako yatabaki history
Mungu awabariki na wote wenye nia Kuhusu dhahabu kazi ni hiy
Pambana upate mbili kama una nguvu nzuri
Tafuta eneo la kujenga mwalo wako iwe kukodi au unanunua
Utendaji Kazi sasa
Wewe kazi yako unakuwa unasaga mawe pale ya wananchi wanalipa na na wanakuachia mchanga kwa ajili ya marudio nawewe unakuwa na mtaji kununua mawe yako unasaga kupata dhahabu ambayo itaendesha maisha pale na kubaki na rudio
Baada rudio kuwa jingi sasa ndio unapeleka plant uko kupata dhahabu yako
Hii kazi nafuu kiasi kuliko kuchimba
Na inatakiwa ujitahidi kukusanya marudio lundo kila baada miezi mitatu unaingia plant aiseee maisha yako yatabaki history
Mungu awabariki na wote wenye nia Kuhusu dhahabu kazi ni hiy