Uchaguzi 2020 Uwasilishaji wa sera za CHADEMA umeshiba na ndio unaoleta kizaazaa Lumumba

Tundu Lissu ni zawadi toka kwa Mungu.
Walimpiga risasi afe,ikashindikana.
Wakamvua ubunge na haki zake kuzipora,ikashindikana.
Yote hii ili Mtanzania aje apate ukombozi wa kweli.
Kura zote kwa Tundu Lissu.

LISSU; SAUTI YA HAKI ITAENDELEA KUNG’ARA

Nafsini waugulia, walotaka Lisu afe,
Sirini walivyomkalia, kula njama dhidi yake,
Wakitweta kwa kupania, eti Lissu aondoke,
Kung’ara itaendelea, SAUTI na nguvu yake.

Mjengoni walimtishia, kwa kugwaya hoja zake.
Na bila soni nje pia, kufisha maoni yake.
Wakishindana kumjazia, hata kesi ziso zake.
Kung’ara itaendelea, SAUTI na nguvu yake.

Pamoja na kumrarua, marisasi pale kwake.
Kwa jazba kumbania, hata salamu kwake.
Yarabi hakuridhia, mauti iende kwake.
Kung’ara itaendelea, SAUTI na nguvu yake

Pasi na kumchulia, nainuka peke yake,
Yale waliyomnuia, yamepita mbali yake,
Leo tumeshuhudia, kwa raha kurudi kwake,
Kung’ara itaendelea, SAUTI na nguvu yake.

Hakuna wa kuzuia, kishindo cha mwangwi wake,
Mola aliyemshindia, yupo na imara kwake,
Atazidi msimamia, kuokoa nchi yake,
Kung’ara itaendelea, SAUTI na nguvu yake.
 
Naona mode wamefuta ule uzi wa magufuli kukatiwa matangazo na TBCCM kisa kukataliwa huko kagera inawezekana jamiiforam ishafika bei.
Binafsi nimehudhuria mkutano wa CCM kuanzia Bukoba Mjini na Biharamulo. Kagera na haswa Biharamulo wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea wa CCM John Magufuli, yanayosemwa ni uzushi tu..ukweli usemwe, Kama hukua eneo la tukio usipoteze muda kubishana
 
lissu amesoma HKL magu amesoma PCM (PHD), ushawahi ona wap mtu wa pcm anahangaika na kuandika IMLA? magufuli knows how to handle a crisis scientifically i.e corona, lissu anajua kuandika IMLA ya corona! ni sawa na useme doctor ajifunze kuandika, who has time for that?

- viongozi wengi wa chadema hawajaenda shule, mfano mwenyekiti, lema! wnajua kuongea kihuni for that i agree but they can never handle anything as simple as economics
Elimu fake ya mkuu ilihojiwa na Ben akapotezwa hadi leo.


Bashite je? Ccm ukoo ule ule.

Ni yeye tu.
tapatalk_1600270550830.jpeg
tapatalk_1600270544402.jpeg
IMG_20200916_081205.jpeg
 
Lissu ni chaguo la Mungu aliye HAI.

Ndio maana ameshinda risasi 16.

Jiwe sijui ni mungu yupi labda wa Lumumba huko.
Angalia Mungu alivyotuvusha kwenye janga la Corona baada ya kumpa Magufuli maono.

Uyo Lissu wenu alikua anaandika ngonjera tu mitandaoni.
 
Uchaguzi wa urais Chadema wanaweza kushinda - in fact it's theirs to lose but the following must be done first and foremost:

1. Umati wa wahudhuriaji wa mikutano wahamasishwe kupiga kura:
Hili sijaliona Lissu akilisisitiza kwenye speeches zake. inabidi awe akiwahamasisha watu wote wenye kadi wazinyooshe juu au ambaye kaacha home anyooshe kidole. hii itakuwa inawakumbusha wapigaji kura wajibu wao # 1.

2. Kuhakikisha kura zote zinahesabiwa katika vituo vya kupiga kura na kutumwa systematically kwenda kwenye tallying centre(s).

3. Kuhakikisha CREDIBLE representatives wanakuwa deployed wakati wote wa kuhesabu kura na wawe wanapiga picha kurasa zenye matokeo na kuziwasilisha haraka kunakostahili (refer # 2 hapo juu). MUHIMU SANA.
Wewe! demu akikubali kuingia gheto ndo tayari
 
😂 😂 😂 lissu amesoma HKL magu amesoma PCM (PHD), ushawahi ona wap mtu wa pcm anahangaika na kuandika IMLA? magufuli knows how to handle a crisis scientifically i.e corona, lissu anajua kuandika IMLA ya corona! ni sawa na useme doctor ajifunze kuandika, who has time for that?

- viongozi wengi wa chadema hawajaenda shule, mfano mwenyekiti, lema! wnajua kuongea kihuni for that i agree but they can never handle anything as simple as economics

Siyo kweli hata iwe HKL , PCM , M.D., Ph.D ya Korosho n.k mtindo ni huo huo 5W + H1

5W = Who? What? When? Where? Why?
1H= How?
 
Tundu Lissu ni zawadi toka kwa Mungu.
Walimpiga risasi afe,ikashindikana.
Wakamvua ubunge na haki zake kuzipora,ikashindikana.
Yote hii ili Mtanzania aje apate ukombozi wa kweli.
Kura zote kwa Tundu Lissu.
Tena ni baada ya kupiga ramli nakuona atakuwa raisi ajaye wakataka kumuua, wamesahau muona maoni hafi mpaka maono yatimie
 
Angalia Mungu alivyotuvusha kwenye janga la Corona baada ya kumpa Magufuli maono.

Uyo Lissu wenu alikua anaandika ngonjera tu mitandaoni.
Na uganda M7 alipewa maono?? Vipi Sudani kusini kuna maono pia? Burundi je??
 
Binafsi nimehudhuria mkutano wa CCM kuanzia Bukoba Mjini na Biharamulo. Kagera na haswa Biharamulo wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea wa CCM John Magufuli, yanayosemwa ni uzushi tu..ukweli usemwe, Kama hukua eneo la tukio usipoteze muda kubishana
Tbc uliona walipozima Matangazo?
 
Back
Top Bottom