Yote yanawezekana na yako kwenye uwezo wa NEC wakisimamia vizuri wasianze janjajanjanina uhakika wahusika wameyaona maoni yangu na watayafanyia kazi.
ngoja niongee pointi zangu kwa volume kubwa...
1. kuhamasisha kupiga kura - doable
2. kura zihasebiwe vituoni - doable
3. wawakilishi kuhesabu kura - doable
Tundu Lissu ni zawadi toka kwa Mungu.
Walimpiga risasi afe,ikashindikana.
Wakamvua ubunge na haki zake kuzipora,ikashindikana.
Yote hii ili Mtanzania aje apate ukombozi wa kweli.
Kura zote kwa Tundu Lissu.
Ndiyo maana mataga wamebaki wanapeperuka kama kuku aliyekatwa kichwa
mkuu NEC wasitegemewe kabisa kwenye hili.Yote yanawezekana na yako kwenye uwezo wa NEC wakisimamia vizuri wasianze janjajanja
Binafsi nimehudhuria mkutano wa CCM kuanzia Bukoba Mjini na Biharamulo. Kagera na haswa Biharamulo wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea wa CCM John Magufuli, yanayosemwa ni uzushi tu..ukweli usemwe, Kama hukua eneo la tukio usipoteze muda kubishanaNaona mode wamefuta ule uzi wa magufuli kukatiwa matangazo na TBCCM kisa kukataliwa huko kagera inawezekana jamiiforam ishafika bei.
HATUMTAKIIIIIIII HATA KWA BURE.Lissu ananadi sera au anatoa MASIMANGO??!View attachment 1571530
Elimu fake ya mkuu ilihojiwa na Ben akapotezwa hadi leo.lissu amesoma HKL magu amesoma PCM (PHD), ushawahi ona wap mtu wa pcm anahangaika na kuandika IMLA? magufuli knows how to handle a crisis scientifically i.e corona, lissu anajua kuandika IMLA ya corona! ni sawa na useme doctor ajifunze kuandika, who has time for that?
- viongozi wengi wa chadema hawajaenda shule, mfano mwenyekiti, lema! wnajua kuongea kihuni for that i agree but they can never handle anything as simple as economics
Wewe na nani comrade? MAGUFULI ni chaguo la Mungu hazuiliki kwa masimango ya Lissu.HATUMTAKIIIIIIII HATA KWA BURE.
Lissu ni chaguo la Mungu aliye HAI.Wewe na nani comrade? MAGUFULI ni chaguo la Mungu hazuiliki kwa masimango ya Lissu.
Angalia Mungu alivyotuvusha kwenye janga la Corona baada ya kumpa Magufuli maono.Lissu ni chaguo la Mungu aliye HAI.
Ndio maana ameshinda risasi 16.
Jiwe sijui ni mungu yupi labda wa Lumumba huko.
Wewe! demu akikubali kuingia gheto ndo tayariUchaguzi wa urais Chadema wanaweza kushinda - in fact it's theirs to lose but the following must be done first and foremost:
1. Umati wa wahudhuriaji wa mikutano wahamasishwe kupiga kura:
Hili sijaliona Lissu akilisisitiza kwenye speeches zake. inabidi awe akiwahamasisha watu wote wenye kadi wazinyooshe juu au ambaye kaacha home anyooshe kidole. hii itakuwa inawakumbusha wapigaji kura wajibu wao # 1.
2. Kuhakikisha kura zote zinahesabiwa katika vituo vya kupiga kura na kutumwa systematically kwenda kwenye tallying centre(s).
3. Kuhakikisha CREDIBLE representatives wanakuwa deployed wakati wote wa kuhesabu kura na wawe wanapiga picha kurasa zenye matokeo na kuziwasilisha haraka kunakostahili (refer # 2 hapo juu). MUHIMU SANA.
😂 😂 😂 lissu amesoma HKL magu amesoma PCM (PHD), ushawahi ona wap mtu wa pcm anahangaika na kuandika IMLA? magufuli knows how to handle a crisis scientifically i.e corona, lissu anajua kuandika IMLA ya corona! ni sawa na useme doctor ajifunze kuandika, who has time for that?
- viongozi wengi wa chadema hawajaenda shule, mfano mwenyekiti, lema! wnajua kuongea kihuni for that i agree but they can never handle anything as simple as economics
Tena ni baada ya kupiga ramli nakuona atakuwa raisi ajaye wakataka kumuua, wamesahau muona maoni hafi mpaka maono yatimieTundu Lissu ni zawadi toka kwa Mungu.
Walimpiga risasi afe,ikashindikana.
Wakamvua ubunge na haki zake kuzipora,ikashindikana.
Yote hii ili Mtanzania aje apate ukombozi wa kweli.
Kura zote kwa Tundu Lissu.
Sasa Unasema Ccm Hoyee
Chadema ndio sisi unataka chadema yupi tenamkuu NEC wasitegemewe kabisa kwenye hili.
my point is Chadema must proactively take a lead throughout.... wasiwe passive hata kidogo.
Na uganda M7 alipewa maono?? Vipi Sudani kusini kuna maono pia? Burundi je??Angalia Mungu alivyotuvusha kwenye janga la Corona baada ya kumpa Magufuli maono.
Uyo Lissu wenu alikua anaandika ngonjera tu mitandaoni.
Kagera wameanza vizuri lazima hii kampeni ya hatukutaki iendeleeeHATUMTAKIIIIIIII HATA KWA BURE.
Tbc uliona walipozima Matangazo?Binafsi nimehudhuria mkutano wa CCM kuanzia Bukoba Mjini na Biharamulo. Kagera na haswa Biharamulo wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea wa CCM John Magufuli, yanayosemwa ni uzushi tu..ukweli usemwe, Kama hukua eneo la tukio usipoteze muda kubishana