Uwanja wa Taifa (Uhuru) Unabomolewa!

Keykey

JF-Expert Member
Dec 1, 2006
3,250
740
Nimepita leo asubuhi, jukwaa la kijani limeshaporomoshwa chini, na tingatinga linaendelea kubomoa!

Nakumbuka uwanja huu uliachwa kwa nafasi yake katika historia ya UHURU wa Tanganyika, ndio maana Wachina wakajenga uwanja mpya pembeni.

Huyu aliyeamua ubomolewe; hata kama ni Magufuli, atuambie ametumia sheria ya mwaka gani?
 
Yaani nchi hii hatutaweka kitu chochote cha historia kama ni kweli basi mawazo yangu nitasikitika sana
 
Elezea vizuri mkuu, mbona habari kama ina-hang?

Taarifa za uhakika zinasema uwanja huo unakarabatiwa kwa kujenga jukwaa la ghorofa mbili kuanzia eneo lililopkuwa green stand hadi kwenye mzunguko wote..(kwa walalahoi) ili litakapokamilika watu wengi zaidi wapate fursa ya kuketi kwa raha zao wakiwa uwanjani hapo. Kwa sababu hiyo uwanja huo sasa umefungwa kwa muda hadi kazi hiyo itakapokamilika.
 
Taarifa za uhakika zinasema uwanja huo unakarabatiwa kwa kujenga jukwaa la ghorofa mbili kuanzia eneo lililopkuwa green stand hadi kwenye mzunguko wote..(kwa walalahoi) ili litakapokamilika watu wengi zaidi wapate fursa ya kuketi kwa raha zao wakiwa uwanjani hapo. Kwa sababu hiyo uwanja huo sasa umefungwa kwa muda hadi kazi hiyo itakapokamilika.

Nani anyefanya funding ya mradi huo?
Je ni TFF?...Wizara husika?...Na je ndiyo kipaumbele kwa sasa?...kuna uharaka huo wa uwanja kupanuliwa ukilinganisha na mahitaji mengineyo hata ndani ya wizara hiyohiyo?
Je si watu wachache wameamua kujipatia maisha kwa njia hiyo?
Kumbukumbu zangu pia zinasema kuwa uwanja huo wa Uhuru ni sehemu ya Historia ya nchi, na utabaki kama ulivy
o!
 
tunashukuru kwa taarifa nzuri. kwani siyo vibaya kuboresha historia.
 

Nani anyefanya funding ya mradi huo?
Je ni TFF?...Wizara husika?...Na je ndiyo kipaumbele kwa sasa?...kuna uharaka huo wa uwanja kupanuliwa ukilinganisha na mahitaji mengineyo hata ndani ya wizara hiyohiyo?
Je si watu wachache wameamua kujipatia maisha kwa njia hiyo?
Kumbukumbu zangu pia zinasema kuwa uwanja huo wa Uhuru ni sehemu ya Historia ya nchi, na utabaki kama ulivy
o!

naona unaongea kwa uchungu sana,
hii ni nchi ya ajabu sana isiyo kuwa na vipaumbele kwa sasa, huo uwanja kwa sasa hauna umuhimu wala uharaka wa kujengwa ili hali watoto wanakalia vumbi kusoma (hayo macement yangeweka sakafu madarasa mangapi?)

watu wamekaa na kuamua kutengeneza kazi ili mambo yao yaende
 

Nani anyefanya funding ya mradi huo?
Je ni TFF?...Wizara husika?...Na je ndiyo kipaumbele kwa sasa?...kuna uharaka huo wa uwanja kupanuliwa ukilinganisha na mahitaji mengineyo hata ndani ya wizara hiyohiyo?
Je si watu wachache wameamua kujipatia maisha kwa njia hiyo?
Kumbukumbu zangu pia zinasema kuwa uwanja huo wa Uhuru ni sehemu ya Historia ya nchi, na utabaki kama ulivy
o!


Pamoja na hayo je wizara au TFF kama wameamua kuupanua kiasi hicho, je hakuna maeneo mengine nchi hii ambayo hayahitaji viwanja?

Kwa nini kubanana Dsm wakati maeneo mengi tu ya nchi hii hakuna viwanja....sijui ni lini serikali itajua vipaumbele
 
jamma anajitahidi kutimiza ilani ya vya siasa alianza na ya chadema sasa anatimiza APPT Maendeleo

Duuhh!! Mkuu umenifanya nimecheka...sijui akimaliza ataanza na ya chama gani tena....labda cha Dovutwa kama takrima ya kumwombea kura dakika za mwisho
 

Nani anyefanya funding ya mradi huo?
Je ni TFF?...Wizara husika?...Na je ndiyo kipaumbele kwa sasa?...kuna uharaka huo wa uwanja kupanuliwa ukilinganisha na mahitaji mengineyo hata ndani ya wizara hiyohiyo?
Je si watu wachache wameamua kujipatia maisha kwa njia hiyo?
Kumbukumbu zangu pia zinasema kuwa uwanja huo wa Uhuru ni sehemu ya Historia ya nchi, na utabaki kama ulivy
o!
Hata kama kuna uharaka, kwa nini watanzania tuna akili mbovu zinazofikiria kukarabati vitu vile vile tena kwa gharama sawa na kujenga uwanja mwingine mpya? Kwa nini tusifikirie kuongeza viwanja vingine vipya sehemu mbalimbali za nchi yetu ili kunapokuwa na mashindano timu zisipate taabu ya viwanja? Uwanja wa uhuru uko pua na mdomo na uwanja wa taifa, kwa nini tuendelee kuwazia kupanua uwanja wa uhuru wakati kuna uwanja mzuri hapohapo unaoweza kutumika kama tutaona kuwa uwanja wa uhuru unazidiwa uwezo?
 
Nimepita leo asubuhi, jukwaa la kijani limeshaporomoshwa chini, na tingatinga linaendelea kubomoa!

Nakumbuka uwanja huu uliachwa kwa nafasi yake katika historia ya UHURU wa Tanganyika, ndio maana Wachina wakajenga uwanja mpya pembeni.

Huyu aliyeamua ubomolewe; hata kama ni Magufuli, atuambie ametumia sheria ya mwaka gani?
National Stadium (Dar Es Salaam)
dar_es_salaam_national.jpg


Mkuu umepost bila kuleta data za kutosha na "wanahistoria" wananchanganyikiwa kwa kuto kuwa na background ya kutosha.
Lakini hizi lawama ni za bure, si wengi wananelewa kuwa katika uhai wake ,kiwanja hiki cha uhuru kimepitia maboresho mengi sana.
"Green Stand" haikuwa hivyo zamani , ilikuwa ya steel structure ambayo ilikuwa hatari sana na kuna wakati ilipiromoka kwa uzito wa watazamaji.
Lango kuu la kutokea Indoor stadium miaka iliyopta halikuwepo na lilijengwa katika maadhimisho ya kitaifa zaidi ya miaka 30 iliyopita.
Hata hiyo tartan surface ya riadha imewekwa si miaka mingi iliyopita.
Zaidi ya yote si wengi wanaofahamu kuwa mahala hapa kilikuwa kiwanja cha ndege wakati wa vita kuu ya pili na Indoor Stadium ilikuwa hangar la ndege.Na mimi nikiwa mdogo nimechezea ndege zilizoharibika nyuma ya In Stad.

History is only relative
Hata hivyo Mkapa atakumbukwa kwa hii stadium mpya na ya kisasa, a stadium of International standards, lakini in 100 years itakuwa history.
Benjamin Mkapa National Stadium
dar_es_salaam_mkapa1.jpg


dar_es_salaam_mkapa2.jpg
 
Pamoja na hayo je wizara au TFF kama wameamua kuupanua kiasi hicho, je hakuna maeneo mengine nchi hii ambayo hayahitaji viwanja?

Kwa nini kubanana Dsm wakati maeneo mengi tu ya nchi hii hakuna viwanja....sijui ni lini serikali itajua vipaumbele
TFF siyo uwanja wao hivyo ukuu panua hawawezi...
 
Maandalizi ya sherehe kubwa ya miaka 50 ya uhuru, jk anataka watu wajae palw decembar 9,2011
 
Hata kama kuna uharaka, kwa nini watanzania tuna akili mbovu zinazofikiria kukarabati vitu vile vile tena kwa gharama sawa na kujenga uwanja mwingine mpya? Kwa nini tusifikirie kuongeza viwanja vingine vipya sehemu mbalimbali za nchi yetu ili kunapokuwa na mashindano timu zisipate taabu ya viwanja? Uwanja wa uhuru uko pua na mdomo na uwanja wa taifa, kwa nini tuendelee kuwazia kupanua uwanja wa uhuru wakati kuna uwanja mzuri hapohapo unaoweza kutumika kama tutaona kuwa uwanja wa uhuru unazidiwa uwezo?
Kinyesi!
hivi wewe ndo wale waliosapoti nyumba za serikali ziuzwe ili zijengwe zingine? hebu toa pumba zako hapa. back to topic; hebu tujifunze kutokulaumu na kulalama kila kitu, mtu mwenye data kamili aje nazo hapa, nani anabomoa? nini kitafuata? fundi zimetoka wapi? na ni kwa malengo yapi? at least from there tunaweza anzu kujadili. si kurukia rukia tu mara tff mara wizara.
 
Back
Top Bottom