Nimepita leo asubuhi, jukwaa la kijani limeshaporomoshwa chini, na tingatinga linaendelea kubomoa!
Nakumbuka uwanja huu uliachwa kwa nafasi yake katika historia ya UHURU wa Tanganyika, ndio maana Wachina wakajenga uwanja mpya pembeni.
Huyu aliyeamua ubomolewe; hata kama ni Magufuli, atuambie ametumia sheria ya mwaka gani?
Nakumbuka uwanja huu uliachwa kwa nafasi yake katika historia ya UHURU wa Tanganyika, ndio maana Wachina wakajenga uwanja mpya pembeni.
Huyu aliyeamua ubomolewe; hata kama ni Magufuli, atuambie ametumia sheria ya mwaka gani?