Uwanja wa KIA kupewa wahindi wa AGAKHAN

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Nimepata habari kuwa Wahindi wa Aga Khan walikwenda kuukagua uwanja wa Kilimanjaro International Airport wakiwa na nia dhahiri ya kuuchukua na kuanza kuuendasha.

Hii ni baada ya serikali kununua na kumiliki hisa zaidi ya 95% .

KADCO itapigwa chini na serikali na kuwapa AGAKHAN.

Swali langu la msingi ni Je kama hii ni kweli hatutarudia yale matapishi ya TRL na kama kuna mtu ana habari zaidi na za uhakika naomba atumwagie mahabari yote ikiwapo vigezo vitakavyotumika katika mkataba.

Naomba wandugu tulijadili hili kwa kina.....

Nawasilisha..................
 
Nimepata habari kuwa Wahindi wa agakhan walikwenda kuukagua uwanja wa Kilimanjaro International Airport wakiwa na nia dhahiri ya kuuchukua na kuanza kuuendasha. Hii ni baada ya serikali kununua na kumiliki hisa zaidi ya 95% . KADCO itapigwa chini na serikali na kuwapa AGAKHAN. Swali langu la msingi ni Je kama hii ni kweli hatutarudia yale matapishi ya TRL na kama kuna mtu ana habari zaidi na za uhakika naomba atumwagie mahabari yote ikiwapo vigezo vitakavyotumika katika mkataba. Naomba wandugu tulijadili hili kwa kina.....
Nawasilisha..................
UWEKEZAJI SIO...?!au ndo mambo yale yale ya TRL?....
 
KADCO wameshindwa wapi na AGAKHAN wameshinda wapi? Tukumbuke KADCO kuna wazalendo wenye hisa akiwemo interconsult
 
Ni kweli kabisa kwani wiki mbili zilizopita siku ya jumapili kama saa kumi na moja hivi nikiwa naelekea KIA kwa safari ya Dar, nilikuta magari mengi sana kama km 1 toka geti la KIA, nikauliza kulikoni? nikaambiwa wahindi wako hapo bila kupata maelezo zaidi kwani walikuwa katika viwanja vya hapo wanazunguka kila mahali.
 
Ni kweli kabisa kwani wiki mbili zilizopita siku ya jumapili kama saa kumi na moja hivi nikiwa naelekea KIA kwa safari ya Dar, nilikuta magari mengi sana kama km 1 toka geti la KIA, nikauliza kulikoni? nikaambiwa wahindi wako hapo bila kupata maelezo zaidi kwani walikuwa katika viwanja vya hapo wanazunguka kila mahali.

Serikali yetu imeshindwa kuendesha hata vitu muhimu kama hivi?
 
Wapewe tu hata ikulu iuzwe tu halafu wakubwa wagawane. Kama wanaona poa hata kila kitu wauze tu.

Maana uwekezaji wa TRL sijawahi kuona duniani. Unamlipia mtu mshahara wakati faida anakula yeye!
 
Unajua KADCO haijashindwa kuendesha KIA, tatizo la msingi ni kutokuwepo ndege za kutosha na serikali kuweka kodi juu kwa ajili ya vitu kama maua na mbogamboa za kupeleka nje kiasi kwamba watu wengi wa kaskazini wanapitisha export zao nairobi. (nairobi you pay US$1.5 while KIA you pay more than US$2.4 per kg) hii inatisha. hata ukimleta nani hawezi kuendesha labda aje kukuibia tu. Ifike wakati serikali iwezeshe wazawa.
Wahindi na Waarabu hawazidi 10% ya Watanzania wote lakini wanahodhi karibu 90% ya uchumi wa nchi yetu...Ni lini tutapiga hatua kama taifa wakati fedha zote za wahindi zinahamishiwa India, Canada, UK nk?
 
Haahaaa imenivunja mbavu kweli! Zile tambuu za TRL wanazotutemea machoni hazijatosha, leo tunawafuata wahindi wengine waje nazo tena mpya sijui watatutemea wapi this time! Duuh...Asiyesikia la mkuu kweli huvunjika guu.
Hawa think tankers wetu mmmh!
 
Unajua KADCO haijashindwa kuendesha KIA, tatizo la msingi ni kutokuwepo ndege za kutosha na serikali kuweka kodi juu kwa ajili ya vitu kama maua na mbogamboa za kupeleka nje kiasi kwamba watu wengi wa kaskazini wanapitisha export zao nairobi. (nairobi you pay US$1.5 while KIA you pay more than US$2.4 per kg) hii inatisha. hata ukimleta nani hawezi kuendesha labda aje kukuibia tu. Ifike wakati serikali iwezeshe wazawa.
Wahindi na Waarabu hawazidi 10% ya Watanzania wote lakini wanahodhi karibu 90% ya uchumi wa nchi yetu...Ni lini tutapiga hatua kama taifa wakati fedha zote za wahindi zinahamishiwa India, Canada, UK nk?

Wahindi wameshindwa ku-operate TRL leo tena tunataka kuwapa wahindi Uwanja wa ndege wa KIA. Kuhusu ndege KIA haina ndege nyingi zituazo ila zipo baadhi kwa mfano ETHIOPIAN, KLM, CONDOR AIR, PRECISION, KENYA AIRWAYS, ATCL, NDEGE ZA WAFALME WA KIWAARABU, NDEGE ZA MIZIGO (ANTONOVY) n.k sasa hapa si haba kwanini serikali ishindwe kuuendesha yenyewe? Hili ni tatizo
 
Nakwambia mpaka ninaona kinyaa!!! Hivi serikali ya Tanzania inaweza kuendesha nini sasa kama inashindwa kiwanja kimoja hicho??
 
May be uwanja utachangamka...sina shida na hili...mimi naona wachukue tu kwani waliopo wameshindwa kabisa kazi.
 
THE AGAKHAN FOUNDATION....sio wahindi kama wahindi wengine..hawa kidogo they have the human face...infact hawa ndio wanaomiliki AGAKHANA hospital....

na arusha wana vitega uchumi vingi tu vya kitalii vinavyofanya vema ..chini ya mwavuli wa SERENA..nadhani pia wana interest SOPA LODGES....

PIA wanajiandaa kujenga chuo kikuu cha aina yake afrika pale arusha .....Wahiindi wa jamii ya Ismailia wengi wanaishi CANADA....kwa hiyo hawajaadhiriwa sana na tabia za wahindi wa INDIA...kama hawa wa TRL ambao wana dhiki kuliko sisis....

kama AGAKHAN akipewa kuendesha kile kiwanja ni wazi kuwa anaweza...naunga mkono!!
 
hofu yangu ni yale madini ya tanzanite yanayosemekana yametanda uwanja mzima hapo KIA.mungu epusha mbali umetupa utajiri lakini tuna viongozi maboga kabisa hawana wanaloweza kufanya..eeeh baba mungu tuepushe na kikombe hiki
 
THE AGAKHAN FOUNDATION....sio wahindi kama wahindi wengine..hawa kidogo they have the human face...infact hawa ndio wanaomiliki AGAKHANA hospital....

na arusha wana vitega uchumi vingi tu vya kitalii vinavyofanya vema ..chini ya mwavuli wa SERENA..nadhani pia wana interest SOPA LODGES....

PIA wanajiandaa kujenga chuo kikuu cha aina yake afrika pale arusha .....Wahiindi wa jamii ya Ismailia wengi wanaishi CANADA....kwa hiyo hawajaadhiriwa sana na tabia za wahindi wa INDIA...kama hawa wa TRL ambao wana dhiki kuliko sisis....

kama AGAKHAN akipewa kuendesha kile kiwanja ni wazi kuwa anaweza...naunga mkono!!

Lakini hauoni kuwa tunakimbia wajibu wetu? Tujiulize ni lini tutajifunza hata kuendesha uwanja wa mpira? Sisi tunataka kila kitu tufanyiwe tuuu? Hata kula tunatafuta mtu wa kututafunia? Hata vile ambavyo Mungu katuwekea tunakwenda kutafuta watu wa kuvila?
Nchi yetu imekaa mahali pazuri sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizotuzunguka, lakini hata bandari kuzi-organize tumeshindwa kabisaa kuendesha. Kuna nchi duniani pato lake kuu ni bandari na chumi zake ni imara kabisa. Kwanini tunaugonjwa wa kupenda kuona watu wa nje wakituongoza kiuchumi? Mbona wenzetu Kenya wameweza angalau kusimama imara wanaendesha shirika la ndege kitaalam tena wakiajiri wataalam kutoka popote duniani?Imefika wakati watanzania tuache kuoneana wivu na kuweza kuona ni bora wazalendo wakawezeshwa kumiliki uchumi wetu tena wakiajiri wataalamu kutoka nje kuboresha vitu kama hivi. Hatutafika popote na hatutaelimika kama hatutaanza kushika uchumi wetu na kuanza kuuendesha taratibu na kwa kushauriana bila wivu.
Hawa wageni wakishaingia hawatataka kuachia utamu ule! Na wakishaona Tax holiday inaanza kuisha wataanza mizengwe na kubadilishiana ownership plus declaring no profit etc etc. Haya mambo yanapoanza kutokea wakati wa vipindi karibu na uchaguzi na kwa watu waliokwisha wekeza hapo nchini muda mrefu inaleta harufu mbaya. Inaelekea hatutakaa tujikwamue kutoka huu ufisadi nini?? Napata wasiwasi mkubwa sanaaaaa!!!!!
 
May be uwanja utachangamka...sina shida na hili...mimi naona wachukue tu kwani waliopo wameshindwa kabisa kazi.

Waliopo wameshindwa nini? Kama huwa unapita KIA nenda sehemu nyeti angalia usafi na kila kitu ktk service hizo halafu ulinganishe na JKNIA hapo ndo useme mwenyewe ... leta details KADCO wameshindwa nini????????
 
waacheni tu wachukue jamani
we mkataba wanalipa million moja kwa mwezi si ushenzi huu
 
tungesoma mkataba wao ni aibu;kama mnakumbuka bungeni walilalamika sana wakaja kusikia mama mheshimiwa sana alikuwa aana hisa pale kubwaaaaaaaaa tu
mmmhh waaaacheni waletwe AGHAKAN/TMJ/HINDUMANDAL WASILETWE
MUHIMBIILI/MWANAYAMALA AMBAO WAMESHAKUFA KIMAISHA
 
Back
Top Bottom