Naunga mkono uwakilishi ni lazima ulingane na idadi ya watu. Wanzanzibari mfano haijulikani kwanini wawakilishi wao ni wengi sana wakati wapiga kura ni 500k tu. Lakini kuna majimbo mengi yenye watu wengi sana. Utaratibu wa wabunge inabidi ubadilike. Hili halina Chama ni usawa na haki kwa raia.
View: https://youtu.be/AK-PhmOAASk?si=72B7vx9ZWzOhgjZY
View: https://youtu.be/AK-PhmOAASk?si=72B7vx9ZWzOhgjZY