HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,545
Kilichotokea Bukoba ni Uzembe wa Serikali na viongozi wake.
Wale watu waliokufa wamedhurumiwa maisha kutokana na utendaji mbovu wa Serikali
Lile swala halijatokea bahati mbaya, nina hakika Mwanza wanajua kilichotokea Bukoba maana wao walikuwa wakiwasiliana na rubani.
Kama ilitokea hitilafu Mwanza walikuwa wa Kwanza kujua, wakifuatiwa na Bukoba.
Je, twamsubiria Rais aje awafukuze kazi kwa uzembe wao?
Mkuu wa Uwanja wa Ndege Bukoba
Zimamoto na Uokoaji Bukoba
TAA Bukoba
Mkuu wa Mkoa Kagera na Wilaya ya Bukoba
Waziri Mkuu
Hawa watu wanasubiri nini Ofisini kwa ule uzembe ?
Ndege imekaa muda mrefu bila juhudi za serikali kusaidia chochote
Rais onesha mfano toa wa juu ili atayekuja awe mkali
Wale watu waliokufa wamedhurumiwa maisha kutokana na utendaji mbovu wa Serikali
Lile swala halijatokea bahati mbaya, nina hakika Mwanza wanajua kilichotokea Bukoba maana wao walikuwa wakiwasiliana na rubani.
Kama ilitokea hitilafu Mwanza walikuwa wa Kwanza kujua, wakifuatiwa na Bukoba.
Je, twamsubiria Rais aje awafukuze kazi kwa uzembe wao?
Mkuu wa Uwanja wa Ndege Bukoba
Zimamoto na Uokoaji Bukoba
TAA Bukoba
Mkuu wa Mkoa Kagera na Wilaya ya Bukoba
Waziri Mkuu
Hawa watu wanasubiri nini Ofisini kwa ule uzembe ?
Ndege imekaa muda mrefu bila juhudi za serikali kusaidia chochote
Rais onesha mfano toa wa juu ili atayekuja awe mkali