Michael Mwakyusa
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 306
- 55
Wakuu mimi nafikiri kinachojiri zanzibar sasa na si ajabu hata huku bara ni kigugumizi cha serikali ya ccm kukemea kwa nguvu zote udini unaozidi kuota mizizi hapa nchini hasa hii mihadhara ya kukashifu dini.