gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
- Thread starter
- #61
gfsonwin umenikumbusha kisa cha ndugu yangu mwaka 2010 mumewe alimletea watoto 2 amezaa na mwanamke mwingie masikini mdada alichanganyikiwa lakini mwisho wa siku akakubaliana na hali akaamua kuwalea watoto cha kushangaza mwaka huu mwanzoni mwanamke mwingine akamletea fujo nyumbani kwake huku akiwa na mtoto akidai wa mumewe......mdada amesema amevumilia sasa amechoka.........kuna mambo mengine unaweza kujifunza kuvumilia na kuna mengine yanashindakan au kufika kikomo na itakuwa sio kuvumilia tena bali kujiumiza.......
ndugu yanu blackwoman soma post #59 ndipo utakapo jua namaanisha nini.
Last edited by a moderator: