Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kwanini umeyaruhusuuuuuWe si ulinifukuza eti nnlikuletea ugoro
umeloa Mara mkongojo umepinda Mara
hunitaki unawajuu wapya na umesha wakagua
..... Mi bado na wivu na ninaondoka zangu ...
E Mungu mwenyeziiiiiiiii
Yanisononeshe moyoni
Kwanini unayaruhusuuuuuuuuuuu
Ona haya machooooziii
Tazama ninavyoliaa.......